-
Rais wa Afrika Kusini atoa mwito wa kuwepo taifa huru la Palestina
Sep 23, 2025 08:25Wakati vita vya Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, Rais wa Afrika Kusini amesisitiza kuhusu dhamira ya nchi yake ya kupatikana njia ya ufumbuzi wa mataifa mawili ili kuhitimisha mzozo uliodumu kwa muda mrefu kati ya Israel na Palestina.
-
Mgogoro wa itibari ya kimaadili ya nchi za Magharibi kuhusu suala la Palestina
Sep 23, 2025 06:22Kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa haoni kinachoendelea katika eneo hilo kuwa ni mauaji ya kimbari.
-
Rais wa Baraza la EU: Lengo hasa la Israel ni kuufanya uundwaji wa nchi ya Palestina usiwezekane
Sep 22, 2025 23:27Rais wa Baraza la Ulaya Antonio Costa amesema hatua za kijeshi zinazochukuliwa na Israel huko Ghaza si suala tena la kujilinda na zinaonekana kuwa na lengo la kuufanya uundaji wa nchi ya Palestina hapo baadaye usiwezekane.
-
Balozi wa Palestina Uingereza: Nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima
Sep 22, 2025 09:17Balozi wa Palestina nchini Uingereza Husam Zomlot amesema, nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima.
-
Kwa nini Tel Aviv inaogopa kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina?
Sep 22, 2025 07:50Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limejiweka kwenye hali ya tahadhari kukabiliana na matukio yanayoweza kutokea baada ya baadhi ya nchi za Magharibi kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina.
-
Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina
Sep 18, 2025 06:42Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama Dola mwishoni mwa wiki hii baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhitimisha ziara yake ya kiserikali nchini humo. Hayo yamefichuliwa na gazeti la The i Paper likivinukuu vyanzo vya serikali.
-
Luxembourg kuitambua Palestina katika Mkutano Mkuu wa UN
Sep 16, 2025 08:37Serikali ya Luxembourg imetangaza mpango wake wa kulitambua taifa la Palestina, na hivyo kuungana na mataifa mbalimbali ya Ulaya ambayo yanatarajiwa kutoa tamko sawa na hili katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baadaye mwezi huu.
-
Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel
Sep 15, 2025 22:47Makumi ya wanajeshi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel waliovamia Ghaza wameambukizwa magonjwa ya ngozi ya kuambukiza.
-
Je, dunia mara hii ina nia ya kufanikisha kuasisiwa nchi huru ya Palestina?
Sep 13, 2025 07:52Katika hatua ya kihistoria, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lililopendekezwa na Ufaransa na Saudi Arabia, na kutangaza kuunga mkono kuanzishwa kwa nchi huru la Palestina na kutekelezwa njia ya ufumbuzi wa serikali mbili.
-
UNGA laidhinisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" la kuundwa Dola la Palestina
Sep 12, 2025 23:41Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana, katika muda maalumu na zisizoweza kutenduliwa" kuelekea kwenye uundwaji wa Dola la Palestina.