Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zatoa mwito kwa ICC kuchunguza jinai za Israel

    Jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zatoa mwito kwa ICC kuchunguza jinai za Israel

    Nov 28, 2022 08:06

    Makumi ya asasi za Palestina na za kimataifa zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ifanye uchunguzi kuhusu jinai zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Polisi ya utawala wa Kizayuni yatangaza hali ya hatari baada ya miripuko ya al Quds

    Polisi ya utawala wa Kizayuni yatangaza hali ya hatari baada ya miripuko ya al Quds

    Nov 23, 2022 22:58

    Polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza hali ya hatari katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu ikihofia uwezekano wa wana muqawama wa Palestina kuekeleza tena oparesheni dhidi ya Wazayuni.

  • Makundi ya Palestina: Operesheni ya Quds ni pigo kwa muundo wa usalama wa Israel

    Makundi ya Palestina: Operesheni ya Quds ni pigo kwa muundo wa usalama wa Israel

    Nov 23, 2022 08:33

    Makundi mbalimbali ya Palestina yamesema kuwa, operesheni za kishujaa iliyofanywa dhidi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Baytul Muqaddas ni fakhari kwa taifa la Palestina, ni katika kujibu jinai za Wazayuni na ni kufeli muundo wa kiusalama wa Israel kukabiliana na wanamapambano wa Palestina.

  • Kuongezeka watoto wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    Kuongezeka watoto wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    Nov 22, 2022 07:09

    Wizara ya Mateka na Wafungwa wa Kipalestina Walioachiliwa Huru kutoka gerezani imetangaza kuwa, hivi sasa kuna watoto 170 wa Kipalestina katika magereza ya Israel huku watano kati yao wakishikiliwa pasi na kuelezwa tuhuma na makosa yao.

  • Uingereza yasisitiza haitauhamishia ubalozi wake Quds

    Uingereza yasisitiza haitauhamishia ubalozi wake Quds

    Nov 22, 2022 04:06

    Kwa mara nyingine, Uingereza kutokana na mashinikizio na ukosoaji wa ndani na nje ya nchi, imesisitiza kuwa haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds tukufu, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Nov 21, 2022 22:55

    Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza juu ya ulazima wa kuzingatiwa na kupewa uzito suala la Palestina. Ibrahim Boughali ametoa sisitizo hilo katika kikao na ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) kilichofanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers.

  • Wapalestina wapata ushindi mwingine Umoja wa Mataifa

    Wapalestina wapata ushindi mwingine Umoja wa Mataifa

    Nov 18, 2022 03:17

    Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio ikitambua haki ya watu wa Palestina ya kuamua hatima yao wenyewe.

  • Israel yatumia bunduki za roboti dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yatumia bunduki za roboti dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Nov 17, 2022 03:25

    Jeshi la utawala haramu wa Israel limepeleka silaha mpya za roboti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huku makabiliano baina ya Wazayuni na Wapalestina yakipamba moto.

  • Jeshi la Israel lampiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina

    Jeshi la Israel lampiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina

    Nov 14, 2022 07:19

    Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi msichana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 19 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Ripoti: Tel Aviv inatumia

    Ripoti: Tel Aviv inatumia "mbinu za kimafia" dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina

    Nov 08, 2022 23:18

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Palestina limesema katika ripoti yake kwa kamati ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inatumia vitisho na mbinu za kimafia kuyanyamazisha mashirika ya kutetea haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS