Duru ya pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Walemavu wa Macho yanaanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 23.
Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiyao ilizinduliwa Jumamosi iliyopita nchini Malawi.
Balozi wa Russia mjini Cairo, Misri amesema kuwa mafundisho ya Qur'ani tukufu hayana mfungamano wa aina yoyote ile ya ugaidi.
Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.
Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.
Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote Iran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote nchini katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.
Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia nakala za Qur'ani tukufu kutekeleza mashambulizi yake ya mabomu katika mji wa Fallujah nchini Iraq.
Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.