-
Rais wa Uturuki: Baada ya miaka 80 lazima UN ifanyiwe mageuzi makubwa ili kutimiza wajibu wake
Aug 12, 2025 03:28Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, wakati Umoja wa Mataifa unakaribia kuadhimisha miaka 80 ya kuasisiwa kwake ni wazi kwamba unahitaji mabadiliko makubwa ili kuendelea kutekeleza majukumu uliyopewa.
-
Singapore yapiga marufuku kuonyeshwa filamu ya Kihindi inayoeneza chuki dhidi ya Uislamu
May 10, 2022 22:10Serikali ya Singapore imepiga marufuku kuonyeshwa nchini humo filamu ya sinema ya Kihindi inayoeneza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
-
Kufeli vibaya Trump katika kampeni ya kuipokonya silaha za nyuklia Korea Kaskazini
Mar 01, 2019 10:26Licha ya majigambo na makelele mengi ya kipropaganda ya Donald Trump na madai yake ya kupata mafanikio makubwa katika kampeni yake ya kuipokonya silaha za nyuklia Korea Kaskazini, lakini rais huyo wa Marekani mwenye majivuno mengi amefeli vibaya katika suala hilo.
-
Trump aghairisha mkutano wake na Kiongozi wa Korea Kaskazini Singapore
May 24, 2018 22:48Rais Donald Trump wa Marekani ameghairisha mkutano uliopangwa kufanyika kati yake na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
-
Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti
Feb 02, 2017 04:39Mahakama moja nchini Singapore imempata mwanadiplomasia wa Saudi Arabia, na hatia ya kubaka na kulawiti mhudumu mmoja wa hoteli kusini mwa nchi hiyo ya bara Asia.
-
Iran na Singapore kustawisha ushirikiano baina yao
Mar 08, 2016 04:05Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Singapore wamejadili na kubadilishana mawazo juu ya kustawisha uhusiano wa nchi mbili katika nyuga tofauti za kiuchumi na vilevile juu ya masuala ya kieneo.