-
Indhari ya UN kuhusiana na kushamiri ubaguzi na uenezaji chuki ndani ya jamii ya Marekani
Nov 26, 2021 02:47Fernand de Varennes, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu za jamii za wachache, ametahadharisha juu ya kuzidi kupanuka ufa wa kukosekana usawa na uenezaji chuki dhidi ya jamii za wachache katika mfumo wa vyombo vya mahakama na vyombo vya habari vya Marekani na kutilia mkazo udharura wa kuanzishwa sheria ya kimataifa ya kukabiliana na uenezaji chuki.
-
Zaidi ya wasomi, wanafikra 600 wa kimataifa wataka kuvunjwa utawala wa kibaguzi katika Palestina ya kihistoria
Jul 08, 2021 04:19Idadi kubwa ya wasomi, wasanii na wanafikra kutoka nchi nyingi duniani wametoa wito wa kuvunjwa mfumo wa ubaguzi wa rangi ulioanzishwa katika ardhi za Palestina ya kihistoria, na kuanzishwa mfumo wa utawala wa kidemokrasia ambao utatoa haki na majukumu sawa kwa wakazi wote wa nchi hiyo bila ubaguzi wowote kwa misingi ya rangi, mbari, dini au jinsia.
-
Biden atahadharisha kuhusu ugaidi wa wabaguzi wa rangi nchini Marekani
Jun 03, 2021 02:31Katika hotuba yake ya juzi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa 100 tangu baada ya mauaji yaliyofanywa na wazungu dhidi ya Wamarekani weusi katika mji wa Tulsa jimboni Oklahoma, Rais Joe Biden wa Marekani aliutaja ugaidi wa wazungu wabaguzi wa rangi wanaojiona kuwa bora kuliko wanadamu wengine kuwa ni tishio hatari zaidi kwa Marekani.
-
Waislamu wa Austria kuishtaki serikali kwa kuhatarisha usalama wao, ubaguzi
May 30, 2021 12:42Kundi linaloongoza la Waislamu nchini Austria limesema lina mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
-
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza aitaka Conservative itupilie mbali Islamophobia
May 27, 2021 02:20Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza amekishauri chama tawala cha Conservative kujipanga upya kwa kutupilia mbali sera za kupiga vita Uislamu (Islamophobia).
-
Amnesty International: Wazungu na mbwa waliokolewa kabla ya watu weusi huko Palma, Msumbiji
May 14, 2021 11:47Kundi la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake kwamba, wakandarasi wazungu walisafirishwa kwa ndege na kupelekwa maeneo yenye usalama kabla ya wenzao weusi baada ya shambulio la magaidi mwezi Machi mwaka huu katika mji Palma nchini Msumbiji.
-
Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini
Apr 14, 2021 02:35Mahakama ya Juu ya India imetengua sheria inayowapiga marufuku raia wa nchi hiyo kubadili dini kutoka kwenye imanii ya Kihindu na kuingia kwenye Uislamu au ukristo. Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo imesema kuwa, sheria hiyo inapingana na katiba ya nchi.
-
Kuendelea sera za ubaguzi wa rangi barani Ulaya na malalamiko ya wananchi
Apr 05, 2021 02:31Suala la Ubaguzi wa rangi limegeuka na kuwa tatizo kubwa kabisa kwa raia wa mataifa ya Ulaya.
-
Guterres: Nchi tajiri ziache ubaguzi na ukiritimba katika ugavi wa chanjo ya corona
Mar 29, 2021 11:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya virusi vya corona duniani na kuzitaka nchi tajiri ambazo zinajilimbikizia kiwango kikubwa sana cha chanjo ya corona kutoa baadhi ya chanjo hiyo kwa nchi nyingine za dunia.
-
Ubaguzi wa rangi katika familia ya kifalme ya Uingereza
Mar 10, 2021 12:02Licha ya madai ya nchi za Magharibi kuwa zinazingatia usawa wa watu katika jamii na kuheshimu haki za binadamu, lakini ukweli wa mambo ni kuwa nchi hizo zinatekeleza siasa za ubaguzi dhidi ya raia wao katika nyanja mbali mbali za kijamii na kiutamaduni.