• Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Hakuna maslahi makuu kwa Umma wa Kiislamu kuliko Umoja

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Hakuna maslahi makuu kwa Umma wa Kiislamu kuliko Umoja

    May 04, 2025 11:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hajj ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.