-
Waislamu wahadharishwa na usambazwaji wa nakala zilizopotoshwa za Qur'ani katika intaneti
Dec 11, 2022 02:29Jumuiya ya Kimataifa ya Uislamu imetangaza kuwa, kuna nakala zilizopotoshwa za Qur'ani Tukufu zinazosambazwa katika baadhi ya tovuti zisizojulikana rasmi.