Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuinuliwa hadhi ya Harakati ya Jihad Islami

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuinuliwa hadhi ya Harakati ya Jihad Islami

    Aug 13, 2022 04:06

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hiyo katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."

  • HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

    HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

    Aug 13, 2022 03:48

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo thabiti ulioonyeshwa na waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Seddiqi: Zichukuliwe hatua zipasazo katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo vya kidhalimu

    Seddiqi: Zichukuliwe hatua zipasazo katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo vya kidhalimu

    Aug 12, 2022 08:07

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesisitiza kuchukuliwa hatua zipasazo katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

    Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

    Aug 09, 2022 06:29

    Wananchi wa Morocco waliokuwa na hasira wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya bunge la nchi hiyo katika maandamano ya kulaani hujuma ya utawala huo dhidi ya Gaza.

  • HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    Aug 06, 2022 22:29

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio unaohamasisha utawala huo dhalimu kushadidisha jinai zake dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Iran yalaani hujuma ya Gaza iliyotekelezwa na utawala wa apathaidi wa Israel

    Iran yalaani hujuma ya Gaza iliyotekelezwa na utawala wa apathaidi wa Israel

    Aug 06, 2022 02:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hujuma ya kuogofya ya utawala wa apathaidi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na kusema: "Palestina ina haki ya kisheria ya kujilinda mbele ya hatua za kigaidi za Israel"

  • Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Aug 05, 2022 23:22

    Duru za Kizayuni zimedai kuwa, Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina imeweka tayari kwa ajili ya kufyatuliwa makombora zaidi 3000 baada ya kiongozi wake mmoja kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka

    Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka

    Jul 31, 2022 07:10

    Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS zimetoa taswira, sambamba na kuwahutubu Wazayuni kwamba: viongozi wa utawala wa Kizayuni wanakuambieni uongo kuhusu mateka.

  • Sheikh Naim Qassem: Israel haina budi kutambua rasmi haki za maliasili za Lebanon

    Sheikh Naim Qassem: Israel haina budi kutambua rasmi haki za maliasili za Lebanon

    Jul 31, 2022 07:04

    Naibu Katibu MKuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hauna budi kuzitambua rasmi haki za Lebanon zinazohusiana na utajiri wa maliasili za baharini.

  • Iran: Mpango wa kijeshi wa nyuklia wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia

    Iran: Mpango wa kijeshi wa nyuklia wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia

    Jul 29, 2022 23:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema ustawi wa mpango wa kijeshi wa nyuklia wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kuendelea kukataa utawala huo vituo vyake vya nyuklia vikaguliwe na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ni tishio kubwa kwa usalama wa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS