Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Jun 01, 2020 02:42

    Matukio katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Marekani yanaonyesha kilele cha ubaguzi katika utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • HAMAS yalaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    HAMAS yalaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    May 30, 2020 07:55

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo kamwe haitoruhusu utawala wa Kizayuni uendelee kufanya jinai dhidi ya Msikiti wa al Aqsa (Kibla cha Kwanza cha Waislamu).

  • Kuongezeka maonyo dhidi ya Israel kuhusu kuunganishwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Kuongezeka maonyo dhidi ya Israel kuhusu kuunganishwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    May 29, 2020 01:30

    Katika hali ambayo Benjamini Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel tayari ameainisha taraehe ya kuunganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo (Israel), maonyo yanaendelea kutolewa dhidi ya hatua hiyo hatari.

  • Kiongozi wa upinzani ndani ya Knesset: Netanyahu anataka kuzusha vita vya ndani Israel

    Kiongozi wa upinzani ndani ya Knesset: Netanyahu anataka kuzusha vita vya ndani Israel

    May 26, 2020 03:33

    Kiongozi wa upinzani katika bunge la utawala haramu wa Kizayuni lijulikanalo kwa jina la Knesset sambamba na kukosoa vikali matamshi ya uchochezi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo aliyoyatoa mahakamani, amesema kuwa Netanyahu anafanya njama za kuibua vita vya ndani huko Israel.

  • Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    May 25, 2020 01:56

    Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel wamewashambulia waumini wa Palestina na kuwazuia kusimamisha swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa al-Aqsa.

  • Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    May 24, 2020 03:27

    Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds kwa ajili ya ibada.

  • Onyo la Russia kuhusu madhara ya hatua za Wazayuni dhidi ya Palestina

    Onyo la Russia kuhusu madhara ya hatua za Wazayuni dhidi ya Palestina

    May 24, 2020 02:39

    Hatua zilizo kinyume cha sheria na zisizo za kibinadamu za Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina zimepamba moto sana katika miaka ya hivi karibuni. Mbali na kuwaua Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni umeongeza sana kasi ya kupora ardhi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • IRGC: Palestina ni kadhia muhimu zaidi katika eneo, jamii ya kimataifa na ulimwengu wa Kiislamu

    IRGC: Palestina ni kadhia muhimu zaidi katika eneo, jamii ya kimataifa na ulimwengu wa Kiislamu

    May 21, 2020 06:10

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, kadhia ya Palestina ingali kadhia muhimu zaidi katika eneo, kimataifa na katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Siku ya Kimataifa ya Quds, siku ya ushindi wa heshima dhidi ya udhalili

    Siku ya Kimataifa ya Quds, siku ya ushindi wa heshima dhidi ya udhalili

    May 20, 2020 22:33

    Miaka 41 iliyopita, Imam Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliitangaza Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Palestina yafuta makubaliano yote iliyofikia na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Palestina yafuta makubaliano yote iliyofikia na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 19, 2020 22:36

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefuta makubaliano yote yaliyofikiwa kati ya mamlaka hiyo na Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS