-
Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?
May 07, 2016 03:12Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.
-
Waandishi habari waandamana Cairo kupinga hatua ya al Sisi na kuipa saudia visiwa vya Misri
Apr 25, 2016 22:06Wanachama wa Jumuiya ya Waandishi Habari wamefanya maandamano mjini Cairo wakipinga hatua ya Rais wa Misri, Abdul Fattah al Sisi ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir na kupasisha makubaliano ya kuchora mipaka ya baharini kati ya nchi hizo mbili.