Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Sibtain katika Qur'ani na Hadithi

Feb 16, 2020 07:54 UTC
Vipindi Vingine
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA)
    Maktaba ya Imam Khomeini (MA)
  • Maswali yetu na majibu ya Thaqalayn
    Maswali yetu na majibu ya Thaqalayn
  • Utakfiri Duniani
    Utakfiri Duniani
  • Mitandao ya Kijamii
    Mitandao ya Kijamii
  • Uislamu Chaguo Langu
    Uislamu Chaguo Langu

  • 30
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.
  • 29
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.
  • 28
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Bismillahir Rahmanir Raheem. Assalam Aalikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni wakati mwingine wa kukutana nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambapo kipindi cha leo ni cha ishirini na nane katika mfululizo wa vipindi hivi, karibuni muwe nasi hadi mwisho wa kipindi.
  • 27
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Asslaama Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi, ambavyo vinawazungumzia wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) al-Hassan na al-Hussein (as).
  • 26
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 26 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain ambavyo vinazungumzia fadhila na utukufu wa Maimamu wawili watukufu Hassan na Hussein (as) ambao ni wajukuu watoharifu wa Mtume Mtukufu (saw).
  • 25
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu ya 25 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain ambavyo vinawazungumzia Maimamu wawili al-Hassan na al-Hussein (as) katika Qur'ani na Hadithi tukufu za Kiislamu.
  • 24
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi. Mwenyezi Mungu alipowaumba Manabii, Mitume na Maimamu waongofu kwa ajili ya kuwaongoza wanadamu, aliwapa watukufu hao uwezo, fadhila na vipawa maalumu kwa ajili ya kufikia lengo hilo la kuwaongoza wanadamu kwenye njia nyoofu.
  • 23
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya 23 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi.
  • 22
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunatumai hamjambo kabisa na mko tayari kujinga nasi tena kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi, karibuni.
  • 21
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikikutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunakukaribisheni katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunatumai kitakunufaisheni vya kutosha. Kama mnavyojua, katika vipindi hivi tunajadili fadhila na sifa za Maimamu Wawili ambao ni wajukuu wapendwa na maua ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na amabo si wengine bali ni Imam Hassan na Hussein (as).
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS