Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Sibtain katika Qur'ani na Hadithi

Feb 16, 2020 07:54 UTC
Vipindi Vingine
  • Umoja wa Kiislamu
    Umoja wa Kiislamu
  • Utakfiri Duniani
    Utakfiri Duniani
  • Hikma za Nahjul Balagha
    Hikma za Nahjul Balagha
  • Uislamu Chaguo Langu
    Uislamu Chaguo Langu
  • Palestina, kadhia kuu ya Waislamu
    Palestina, kadhia kuu ya Waislamu
  • Hija
    Hija
  • Mitandao ya Kijamii
    Mitandao ya Kijamii

  • 50
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikikutangazieni kutoka mjini Tehran. Hiki ni kipindi cha 50 na cha mwisho katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambavyo vimekuwa vikijaili na kuzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu ambao ni Imam Hassan na Imam Hussein (as) wajukuu ambao walipendwa sana na Mtume (saw) ambaye pia aliwataka Waislamu wote wawapende, wawaheshimu na kuwakinga na madh
  • 49
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaha kujiunga nanyi tena kusikiliza yale tuliyokuandalieni katika sehemu hii ya 49 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi, ambavyo kama mnavyojua huchambua na kuzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu ambao ni Imamain al-Hassan na al-Hussein (as).
  • 48
    Sibtain Katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Aalaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho huzungumzia fadhila na sifa za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao si wengine bali na Maimamu al-Hassan na al-Hussein (as) ambao aliwapenda sana Mtume na kuwausia Waislamu pia wawapende wa kuwalinda dhidi ya madhara na mabaya yote. Karibuni.
  • 47
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutokan mjini Tehran. Tuna furaha kujiunga nanyi tena katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho kama mnavyojua huzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao si wengine bali ni Imam Hassan na Hussein (as).
  • 46
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaha kujiunga nanyi katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunatumai kitatunufaisha sote kwa pamoja, karibuni.
  • 45
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni wasaa mwingine wa kujumuika nanyi katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunatumai kitatunufaisha sote kwa pamoja, karibuni.
  • 44
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Aalykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 44 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambavyo tunatumai vinatunufaisha sote kwa pamoja. Hivyo tunakukaribisheni kwa moyo mkunjufu muwe pamoja nasi hadi mwisho wa kipindi ili tupate kunufaika na yale tuliyokuanfalieni kwa juma hili, karibuni.
  • 43
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaha kujiunga nanyi tena katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunatumai kitatunufaisha sote baada ya kusikiliza kwa makini yale tuliyokuandalieni kwa juma hili, karibuni.
  • 42
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiwahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ni na Hadithi, ambacho huzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) al-Hassan na al-Hussein kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu na Hadithi za kuaminika za Kiislamu.
  • 41
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu ya 41 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani Tukufu na Hadithi ambavyo huzungumzia na kufafanua sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao si wengine bali ni Imamain al-Hassan na al-Hussein (as) na ambao wana heshima na nafasi kubwa tukufu katika Uislamu. Ni matumaini yetu kuwa mtakuwa pamoja n
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS