-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji: Muamala wa Karne utasambaratika kwa hima na imani ya mrengo wa muqawama.
Aug 10, 2019 11:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa mataifa ya Waislamu kuungana kukabiliana na njama za maadui huku akikisitiza kuwa 'Muamala wa Karne' kuhusu kadhia ya Palestina utafeli kwa hima na imani ya mrengo wa muqawama.
-
Hija na Visa Vyenye Ibra
Aug 19, 2018 12:14Assalamu Alaykum wasikilizaji wapenzi popote pale mlipo. Tuko kwenye msimu wa ibada tukufu ya Hija. Kwa mnasaba huo Radio Tehran imekuandalieni kipindi hiki maalumu cha Hija na Visa Vyenye Ibra. Kisa chetu cha kwanza kitahusu Hija ya Kudumu Daima Dawamu.