Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Rais Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani

    Rais Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani

    Sep 16, 2022 06:59

    Rais Ebrahim Raisi amesema, mashirikiano ya kistratijia ya Iran na China ni ishara ya irada ziliyonayo nchi mbili ya kustawisha uhusiano wao katika pande zote na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitalegeza msimamo mbele ya ubabe wa Marekani.

  • Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Sep 15, 2022 23:32

    Bunge la Seneti la Marekani limepasisha muswada wa sheria inayotaka Taiwan kupewa msaada wa kijeshi wa mabilioni ya dola, hatua inayotazamiwa kuighadhabisha China.

  • Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Sep 14, 2022 03:04

    Marekani imeripotiwa kuwa inatafakari kuiwekea China vikwazo ili kuzuia eti mashambulizi tarajiwa ya kijeshi ya Beijing dhidi ya kisiwa cha Taiwan.

  • Mtetemeko wa ardhi waua watu 66 nchini China

    Mtetemeko wa ardhi waua watu 66 nchini China

    Sep 06, 2022 21:53

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliotokea nchini China imefikia watu 66 huku mamia ya wengine wakijeruhiwa.

  • China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    Sep 03, 2022 21:54

    China imetangaza kuwa Marekani, ambayo ndio msababishaji mkuu wa mgogoro wa Ukraine inafaidika na kuendelea kwa vita katika nchi hiyo.

  • Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia

    Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia

    Sep 02, 2022 23:56

    Licha ya shinikizo la Marekani kwa nchi nyingine kwa ajili ya kuitenga Russia kutokana na vita vya Ukraine, Moscow imeandaa mazoezi makubwa ya kijeshi ya nchi kavu, anga na baharini kwa kuzishirikisha nchi nyingine 13.

  • Beijing: Mauzo ya silaha za US kwa Taiwan yanakiuka sera ya 'China Moja'

    Beijing: Mauzo ya silaha za US kwa Taiwan yanakiuka sera ya 'China Moja'

    Aug 30, 2022 21:50

    China imekosoa vikali mpango mpya wa serikali ya Marekani wa kuiuzia Taiwan silaha zenye thamani ya dola bilioni 1.1, ikisisitiza kuwa mawasiliano yoyote ya kijeshi na Taipei ni ukiukaji wa kanuni ya "China Moja".

  • Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Aug 25, 2022 21:55

    China imeionya vikali Canada na kusisitiza kuwa itachukua hatua madhubuti na za nguvu iwapo wabunge wa Canada watafanya safari ya kuitembelea Taiwan karibuni hivi.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Aug 19, 2022 22:11

    Marekani ambayo imeingia kiwewe kutokana na kuzidi kuongezeka nguvu za China, imeahidi kuchukua hatua za kukabiliana na Beijing katika kipindi cha wiki na miezi ijayo karibu na kisiwa cha Taiwan, kwa tamaa ya kupunguza kasi ya nguvu za kijeshi na kiuchumi za China.

  • China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    Aug 18, 2022 23:34

    Balozi wa China mjini London ameonya kuwa, uingiliaji wa mambo unaofanywa na Uingereza na Marekani juu ya suala la Taiwan hautakuwa na matokeo mengine ghairi ya vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS