-
Vifaa vya ujasusi vya Israel vyanaswa na jeshi la Lebanon katika milima ya nchi hiyo
Jun 08, 2016 03:12Kamandi ya jeshi la Lebanon imetangaza kunasa na kusambaratisha mfumo wa kijasusi wa utawala haramu wa Kizayuni katika miinuko ya al-Barouk nchini humo.