-
Iran yalifanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2
Mar 10, 2017 00:40Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo limefanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2.