-
Pezeshkian: Si katika hulka na dhati ya Iran kusalimu amri
Sep 30, 2025 23:18Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameashiria azma na irada thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa mashinikizo ya maajinabi na kutangaza kwamba, taifa hili kamwe halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa.
-
Pezeshkian: Utaratibu wa Snapback ni jaribio la kuhalalisha hatua haramu za Magharibi
Sep 30, 2025 08:32Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja utaratibu wa Snapback kama jaribio la kuhalalisha vitendo haramu vya nchi za Magharibi.
-
Iran yalaani urejeshaji vikwazo vya UN vilivyokwisha muda wake uliofanywa na Marekani na Ulaya
Sep 30, 2025 04:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameikosoa Marekani na mataifa matatu ya Ulaya kwa kujaribu kutumia utaratibu wa 'snapback' wa makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 ili kurejesha tena vikwazo vilivyokwisha muda wake vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Pezeshkian apuuzilia mbali vikwazo; asema ni ndoto kuwapigisha magoti Wairani
Sep 29, 2025 23:01Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maadui wanafanya kila wawezalo kuiwekea vikwazo Iran kwa sababu nchi hii iimekataa kuwapigia magoti na haitakubali kudhalilishwa.
-
Iran: Sekretarieti ya UN imevuka mpaka wa mamlaka yake kutangaza urejeshwaji wa vikwazo
Sep 29, 2025 08:34Iran imepinga vikali taarifa ya Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kwa nchi wanachama kuhusu kutumika tena maazimio yaliyohitimisha muda wake yanayoilenga Jamhuri ya Kiislamu kwa vikwazo.
-
Uzalishaji wa bidhaa ambazo msingi wake elimu wapiga hatua nyingine nchini Iran
Sep 29, 2025 03:51Uzalishaji wa bidhaa ambazo msingi wake elimu umepiga hatua nyingine nchini Iran kutoka katika bidhaa bunifu za afya hadi kuboresha usahihi wa vifaa vya uchunguzi.
-
Iran: Wanachama wa UN hawana wajibu wa kuheshimu maazimio batili dhidi ya Tehran
Sep 28, 2025 22:56Iran imesema madai yaliyotolewa na Marekani na nchi za Ulaya kuhalalisha kurejeshwa kwa maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hii hayaziwajibishi nchi wanachama wa UN kuzingatia na kuheshimu hati za umoja huo zilizobatilishwa hapo awali.
-
Kamanda wa Iran: Uchokozi wowote dhidi yetu utajibiwa haraka
Sep 28, 2025 07:32Kamanda Mkuu wa Jeshi wa Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa, taifa hili limejiweka sawa na tayari kutoa jibu zito na la haraka dhidi ya vitisho na vitendo vyovyote vya uhasama vya maadui dhidi yake.
-
Safavi: Marubani zaidi ya 16 wa Israel waliuawa katika vita vya siku 12
Sep 28, 2025 07:32Mshauri mkuu wa masuala ya kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, zaidi ya marubani 16 wa Israel waliangamizwa katika vita vya siku 12 vilivyotwishwa Iran na utawala wa Kizayuni.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Israel ni utawala unaodharaulika na uliotengwa pakubwa duniani
Sep 28, 2025 03:52Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ameitaja Israel kama utawala unaochukiwa zaidi duniani.