-
Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA
Dec 22, 2020 00:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema data za miamala ya kibiashara baina ya nchi hii na Ulaya kati ya mwaka 2014 na 2019 zinaonesha wazi kuwa nchi tatu za Ulaya washiriki wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA zilikiuka wajibu wao wa kisheria.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na kundi la 4+1 wasisitiza kulinda mapatano ya JCPOA
Dec 21, 2020 09:44Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na nchi zinazounda kundi la 4+1 wamesisitiza katika kikao chao juu ya kuyalinda mapatano ya JCPOA.
-
Guterres ataka nchi wanachama wa UN kushirikiana na Iran kibiashara
Dec 19, 2020 08:49Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza katika ripoti ya utekelezaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya udharua wa kulindwa mapatano ya JCPOA na kuzitaka nchi zote wanachama wa umoja huo kuanzisha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na Iran kwa mujibu wa azimio hilo.
-
Rais Rouhani: Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko huko nyuma
Dec 16, 2020 07:52Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma.
-
Khatibzadeh: Ajenda ya leo ya Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA ni kuchunguza mchakato wa utekelezaji wa majukumu
Dec 16, 2020 04:17Msemaji wa Wizara ya Mambo yaNje ya Iran Saeed Khatibzadeh ameeleza kuwa, Kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya Mapatano ya JCPOA ni kati ya vikao vya kawaida vya kuchunguza mchakato wa utekelezaji wa mapatano ya JCPOA na masuala yanayozikwamisha pande nyingine husika za mapatano kutekeleza ahadi na majukumu yao.
-
Katibu Mkuu wa Arab League atoa bwabwaja nyingine dhidi ya Iran na Uturuki
Dec 08, 2020 03:52Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amepayuka tena dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki, katika hotuba yake mbele ya wanachuo mjini Cairo Misri.
-
Khatibzadeh: Misimamo ya Iran kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika
Dec 07, 2020 08:58Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa,misimamo ya Tehran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika.
-
Indhari ya Zarif; kivuli kizito cha sheria ya bunge la Iran kwa pande shiriki katika mapatano ya JCPOA
Dec 05, 2020 06:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sheria ya hatua za kistratejia kwa ajili ya kuondoa vikwazo itatekelezwa iwapo pande shiriki katika mapatano ya JCPOA hazitatekeleza majukumu yao.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU akiri kuwa Troika ya Ulaya na Marekani zimehalifu ahadi zao katika JCPOA
Dec 04, 2020 04:26Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa Troika ya umoja huo na Marekani zimehalifu ahadi na hazikutekeleza majukumu yao katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo
Dec 03, 2020 20:45Licha ya kuwa baada ya kujitoa marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama JCPOA, nchi za Ulaya zimekuwa na utendaji hasi na dhaifu katika kulinda na kutekeleza ahadi zao kuhusu mapatano hayo, lakini zingali zinadai kwamba zinaendelea kuyalinda.