Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA

    Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA

    Dec 22, 2020 00:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema data za miamala ya kibiashara baina ya nchi hii na Ulaya kati ya mwaka 2014 na 2019 zinaonesha wazi kuwa nchi tatu za Ulaya washiriki wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA zilikiuka wajibu wao wa kisheria.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na kundi la 4+1 wasisitiza kulinda mapatano ya JCPOA

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na kundi la 4+1 wasisitiza kulinda mapatano ya JCPOA

    Dec 21, 2020 09:44

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na nchi zinazounda kundi la 4+1 wamesisitiza katika kikao chao juu ya kuyalinda mapatano ya JCPOA.

  • Guterres ataka nchi wanachama wa UN  kushirikiana na Iran kibiashara

    Guterres ataka nchi wanachama wa UN kushirikiana na Iran kibiashara

    Dec 19, 2020 08:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza katika ripoti ya utekelezaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya udharua wa kulindwa mapatano ya JCPOA na kuzitaka nchi zote wanachama wa umoja huo kuanzisha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na Iran kwa mujibu wa azimio hilo.

  • Rais Rouhani: Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko huko nyuma

    Rais Rouhani: Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko huko nyuma

    Dec 16, 2020 07:52

    Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma.

  • Khatibzadeh: Ajenda ya leo ya Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA ni kuchunguza mchakato wa utekelezaji wa majukumu

    Khatibzadeh: Ajenda ya leo ya Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA ni kuchunguza mchakato wa utekelezaji wa majukumu

    Dec 16, 2020 04:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo yaNje ya Iran Saeed Khatibzadeh ameeleza kuwa, Kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya Mapatano ya JCPOA ni kati ya vikao vya kawaida vya kuchunguza mchakato wa utekelezaji wa mapatano ya JCPOA na masuala yanayozikwamisha pande nyingine husika za mapatano kutekeleza ahadi na majukumu yao.

  • Katibu Mkuu wa Arab League atoa bwabwaja nyingine dhidi ya Iran na Uturuki

    Katibu Mkuu wa Arab League atoa bwabwaja nyingine dhidi ya Iran na Uturuki

    Dec 08, 2020 03:52

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amepayuka tena dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki, katika hotuba yake mbele ya wanachuo mjini Cairo Misri.

  • Khatibzadeh: Misimamo ya Iran kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika

    Khatibzadeh: Misimamo ya Iran kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika

    Dec 07, 2020 08:58

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa,misimamo ya Tehran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika.

  • Indhari ya Zarif; kivuli kizito cha sheria ya bunge la Iran kwa pande shiriki katika mapatano ya JCPOA

    Indhari ya Zarif; kivuli kizito cha sheria ya bunge la Iran kwa pande shiriki katika mapatano ya JCPOA

    Dec 05, 2020 06:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sheria ya hatua za kistratejia kwa ajili ya kuondoa vikwazo itatekelezwa iwapo pande shiriki katika mapatano ya JCPOA hazitatekeleza majukumu yao.

  • Mkuu wa Sera za Nje wa EU akiri kuwa Troika ya Ulaya na Marekani zimehalifu ahadi zao katika JCPOA

    Mkuu wa Sera za Nje wa EU akiri kuwa Troika ya Ulaya na Marekani zimehalifu ahadi zao katika JCPOA

    Dec 04, 2020 04:26

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa Troika ya umoja huo na Marekani zimehalifu ahadi na hazikutekeleza majukumu yao katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo

    Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo

    Dec 03, 2020 20:45

    Licha ya kuwa baada ya kujitoa marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama JCPOA, nchi za Ulaya zimekuwa na utendaji hasi na dhaifu katika kulinda na kutekeleza ahadi zao kuhusu mapatano hayo, lakini zingali zinadai kwamba zinaendelea kuyalinda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS