-
Kamisheni ya Ulaya: Utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar unasikitisha mno
Sep 14, 2017 23:19Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amelaani vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar na kuvitaja kuwa ni maafa ya kusikitisha mno.
-
Kamisheni ya Ulaya yatoa mamilioni ya euro kwa wakimbizi wa Eneo za Ziwa Chad
Aug 06, 2016 08:58Kamisheni ya Ulaya imetangaza kuwa itatoa msaada wa euro milioni 12 na nusu ili kukabilianan na mgogoro wa kibinadamu katika Eneo la Ziwa Chad.