-
Iran, Russia na China zaanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Bahari ya Hindi
Dec 27, 2019 09:51Mazoezi ya kijeshi ya baharini yanayoshirikisha majeshi ya majini ya nchi tatu za Iran, Russia na China yameanza leo Ijumaa kaskazini mwa Bahari ya Hindi kwa kaulimbiu ya "Amani, Urafiki na Usalama Endelevu Chini ya Kivuli cha Ushirikiano na Umoja".
-
Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump
Nov 26, 2019 06:44Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kukiuka na kufumbia macho taratibu za kisheria ambapo mara kwa mara amekuwa akiingilia moja kwa moja masuala tofauti ya idara za serikali na za jeshi la nchi hiyo.
-
Admeri Alireza Tangsiri: Kikosi cha wanamaji wa SEPAH kimejiandaa kulinda mipaka ya majini ya Iran
Sep 29, 2019 12:37Kamanda wa kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, chokochoko yoyote ile dhidi ya mipaka ya majini ya Iran itakuwa na matokeo mabaya na machungu kwa wavamizi.
-
Iran yafanyia majaribio kwa mafanikio kombora lake jipya kutoka katika nyambizi
Feb 24, 2019 07:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanyia majaribio kwa mafanikio kombora lake jipya la majini kwa ardhi kwa kutumia nyambizi yake aina ya Ghadir.
-
Amiri Jeshi Mkuu: Jizatitini muwafanye maadui wasithubutu hata kutoa vitisho dhidi ya taifa la Iran
Nov 28, 2018 16:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi Ayatullah Sayyed Ali Khamenei leo amekutana na makamanda na wakuu wa jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi la Wanamaji.
-
Admeri Khanzadi: Kuleta amani katika eneo ni moja ya majukumu ya jeshi la majini la Iran
Nov 30, 2017 08:01Kamanda wa kikosi cha majini cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeri Hossein Khanzadi amesema kuleta amani katika eneo na kwenye maji huru ya kimataifa ni miongoni mwa malengo muhimu zaidi na majukumu ya jeshi hilo.
-
Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi
Nov 28, 2017 16:47Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran amesema tarehe 7 Azar (28 Novemba) ambayo ni siku ya Jeshi la Majini ni siku ya fahari na heshima, na siku ya kuenzi kujitolea mhanga kwa jeshi hilo.
-
Meli za kivita za Iran zasindikiza meli 4,200 za kibiashara katika Ghuba ya Aden
Sep 20, 2017 03:54Meli za Kivita za Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimesindikiza zaidi ya meli 4,200 za kibiashara katika eneo linalosumbuliwa na maharamia la Ghuba ya Aden tokea mwaka 2008.
-
Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia
Feb 13, 2017 15:18Maharamu kutoka Somalia waliojaribu kuteka nyara meli ya mizigo ya Iran wametimuliwa na manwoari za Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.