-
Kiongozi Muadhamu: Baraza Kuu la Usalama wa Taifa linapaswa kutawaliwa na mantiki na fikra sahihi
Feb 03, 2016 10:42Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa anga inayotawala sekretarieti ya Baraza Kuu la Usalama wa Taifa na maamuzi yake inapaswa kwenda sambamba na fikra sahihi, halisi za kimapinduzi na za kihizbullah.