-
Wakazi wa mji wa Hiroshima, Japan wafanya maandamano kulaani majaribio ya Marekani ya silaha za nyuklia
May 29, 2019 03:50Wakazi wa mji wa Hiroshima nchini Japan wamefanya maandamano kulaani majaribio ya hivi karibuni ya silaha za nyuklia yaliyofanywa na Marekani.