Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Mar 10, 2022 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.

  • Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Mar 07, 2022 08:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo na si kwa mujibu wa jumbe zisizo wazi za Marekani katika mazungumzo ya Vienna.

  • Rais Ebrahim Raisi: Wananchi wa Ukraine ni wahanga wa siasa za kishetani za Marekani

    Rais Ebrahim Raisi: Wananchi wa Ukraine ni wahanga wa siasa za kishetani za Marekani

    Mar 07, 2022 00:52

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Ukraine wamekuwa wahanga wa siasa za kishetani za Marekani.

  • Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Mar 06, 2022 01:19

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.

  • Hizbullah: Vikwazo vya Marekani haviathiri mapambano ya Walebanon

    Hizbullah: Vikwazo vya Marekani haviathiri mapambano ya Walebanon

    Mar 05, 2022 10:46

    Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesema vikwazo vya Marekani havina taathira yoyote katika mapambano ya Kiislamu au muqawama na kuongeza kuwa, Hizbullah ina njia mbalimbali za kusimama kidete na kukabiliana na mashinikizo ya maadui.

  • Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Mar 04, 2022 09:00

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.

  • Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Mar 04, 2022 08:44

    Maelfu ya wananchi wa Marekani wameuandikia barua ubalozi wa Ukraine mjini Washington wakiomba kuruhusiwa kwenda kupigana na jeshi la Russia wakishirikiana na wanajeshi wa Ukraine.

  • Jibu la China kwa tuhuma za Blinken

    Jibu la China kwa tuhuma za Blinken

    Mar 04, 2022 08:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Wang Wenbin ameyataja matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Anthony Blinken kuhusu mkoa wa Xinjiang kuwa ni shutuma zisizo na msingi. Katika ujumbe wake wa video, Blinken aliishutumu China kwa kuendeleza kile alichodai kuwa ni mauaji ya kimbari na uhalifu dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang.

  • Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Mar 03, 2022 22:59

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema stratejia ya muqawama amilifu ndiyo iliyoishinda na kusambaratisha sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Iran.

  • Iran yaionya Marekani, yasema ina mpango wa pili iwapo mazungumzo ya Vienna yatafeli

    Iran yaionya Marekani, yasema ina mpango wa pili iwapo mazungumzo ya Vienna yatafeli

    Mar 01, 2022 07:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh ameionya Marekani kuhusu ‘kuhadaa na kuboronga’ katika mazungumzo ya Vienna yaliyoitishwa kufufua mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 ya JCPOA. Katika ujumbe wake kupitia Twitter mapema Jumanne, Khatibzadeh amesema Iran iko tayari kufikia mapatano kupitia mazungumzo lakini haitasubiri milele.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS