-
Maseneta wa Marekani wataka kufichuliwa nyaraka zaidi za kuhusika Wasaudia katika mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11
Aug 06, 2021 03:05Maseneta wa Marekani amewasilisha mpango unaotaka kuwekwa wazi zaidi nafasi ya Saudi Arabia katika mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini humo.
-
Rais wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Balozi wa Marekani
Aug 04, 2021 22:03Katika kile kinachoonekana ni kushtadi mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia, Rais Kais Saied wa nchi hiyo ametangaza kumfuta kazi Balozi wa nchi hiyo huko Marekani pamoja na Gavana wa moja ya mikoa ya kistratajia ya nchi hiyo.
-
Silaha zawa adimu kupatikana Marekani kutokana na kukithiri mno idadi ya wanunuzi
Aug 01, 2021 23:26Marekani inakabiliwa na uhaba wa silaha kufuatia kuongezeka kwa kiwango kikubwa mno ununuzi wa silaha katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Familia za wahanga wa mauaji ya kimbari ya Tulsa wataka kufanyike uchunguzi wa mauaji hayo
Aug 01, 2021 08:04Familia za Wamarekani weusi waliouawa kwa umati katika mji wa Tulsa kwenye jimbo la Oklahoma nchini Marekani zimetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu jinai hiyo na kuchukuliwa hatua wahusika wa mauaji hayo.
-
John Sopko: Washington haikujifunza kutokana na makosa yake huko Afghanistan
Aug 01, 2021 06:25Inspekta Jenerali Maalumu wa Marekani katika Ujenzi Mpya wa Afghanistan amesema kuwa, nchi hiyo haijapata ibra na funzo kutokana na makosa yake katika vita vya Afghanistan.
-
HAMAS: Marekani inaipa baraka Israel za kuendeleza mauaji yake dhidi ya Wapalestina
Aug 01, 2021 00:58Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, uamuzi waserikali ya Marekani wa kuupatia silaha mpya utawala haramu wa Israel maana yake ni kuupa baraka utawala huo ghasibu za kuendeleza hujuma na mashambulio yake dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Uchunguzi wa maoni: Asilimia 60 ya wananchi wa Marekani wanamlaumu Biden kwa mfumuko wa bei
Jul 29, 2021 03:32Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa huko Marekani unaonyesha kuwa, asilimia 60 ya wananchi nchini humo wanaamini kuwa Rais wa nchi hiyo Joe Biden ndiye anayepaswa kulaumiwa kwa mfumuko wa bei ambao haujawahi kushuhudiwa nchini humo katika miaka 13 ya karibuni.
-
Wamarekani wanaanza vita vya kinafsi dhidi ya rais mteule wa Iran
Jul 29, 2021 02:38Kundi moja la maseneta wa chama cha Republican nchini Marekani limemtumia barua Rais Joe Biden likimtaka azuie rais mteule wa Iran, Ayatullah Sayyid Ebrahim Raeisi na maafisa wengine wa Iran kuingia nchini humo kwa ajili ya kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Mataifa.
-
Spika wa Zimbabwe: Marekani, muasisi wa ukiukaji wa haki za binadamu
Jul 28, 2021 06:44Spika wa Bunge la Kitaifa la Zimbabwe ameitaja Marekani kama muasisi, chimbuko na taifa linaloongoza kwa ukiukaji wa haki za binadamu duniani.
-
Radiamali tofauti za maafisa na makundi ya Iraq kuhusu taarifa ya pamoja ya al-Kadhimi na Biden
Jul 28, 2021 03:53Rais Joe Biden wa Marekani na Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq wametoa taarifa mwishoni mwa duru ya nne ya mazungumzo ya kistratijia nya nchi mbili ambapo wamesema kuwa wameafikiana juu ya kufikia kikomo uwepo wa askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.