Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mashia

  • Bahrain yamnyang'anya uraia Ayatullah Issa Qasim

    Bahrain yamnyang'anya uraia Ayatullah Issa Qasim

    Jun 20, 2016 14:25

    Utawala wa kizazi cha Aal Khalifa nchini Bahrain umeendeleza ukiukaji wake mkubwa wa haki za binadamu kwa kumnyang'anya uraia mwanazuoni mkubwa na mashuhuri wa Kiislamu nchini humo Ayatullah Issa Ahmad Qasim.

  • Sheikh wa al Azhar: Shia na Suni na mbawa mbili za Uislamu

    Sheikh wa al Azhar: Shia na Suni na mbawa mbili za Uislamu

    Mar 17, 2016 07:54

    Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema kuwa Shia na Suni ni wafuasi wa dini moja na ni mithili ya mbawa mbili za ndege mmoja

  • Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain

    Mar 08, 2016 03:12

    Mkuu wa masuala ya uhuru wa kidini katika shirika la kutetea haki za binadamu la Bahrain ametangaza kuwa kuwatuhumu Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo kwa uhaini kunakofanywa na vyombo vya habari vyenye mfungamano na utawala wa Aal Khalifa sasa limekuwa ni jambo la kawaida.

  • Wauaji wa Sheikh Shehatta wahukumiwa kifungo cha miaka 14 jela Misri

    Wauaji wa Sheikh Shehatta wahukumiwa kifungo cha miaka 14 jela Misri

    Feb 26, 2016 02:48

    Mahakama moja ya Misri imewahukumu kifungo cha miaka 14 jela watu kadhaa waliohusika na mauaji ya mwanazuoni wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo, Sheikh Hassan Shehatta.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS