Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Amir Abdolahian: Siri ya ushindi wa matawalia wa kambi ya muqawama, ni umoja

    Amir Abdolahian: Siri ya ushindi wa matawalia wa kambi ya muqawama, ni umoja

    May 27, 2021 11:22

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesisitiza kuwa, siri ya ushindi wa mfululizo wa kambi ya muqawama ni umoja na mshikamano wake.

  • Kufika ukingoni subira ya makundi ya muqawama ya Iraq kuhusu wanajeshi wa Marekani

    Kufika ukingoni subira ya makundi ya muqawama ya Iraq kuhusu wanajeshi wa Marekani

    May 25, 2021 02:17

    Kituo cha Uratibu wa Makundi ya Muqawama ya Iraq kimetoa taarifa kikisema muhula waliokuwa wamepewa askari vamizi wa Marekani kuondoka Iraq umefika ukingoni na sambamba na hilo kumeshadidishwa oparesheni dhidi ya maeneo waliko magaidi hao wa Marekani nchini Iraq.

  • Wazayuni wakiri kipigo, wameshapata hasara ya dola milioni 160 kwa mashambulio ya muqawama

    Wazayuni wakiri kipigo, wameshapata hasara ya dola milioni 160 kwa mashambulio ya muqawama

    May 13, 2021 11:53

    Chama cha Wazalishaji Bidhaa cha utawala wa Kizayuni kimetangaza kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya makombora wanamapambano wa Palestina siku chache zilizopita hadi hivi sasa, sekta ya uzalishaji bidhaa ya Israel imeshapata hasara ya dola miliioni 160.

  • Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma'  yafeli

    Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma' yafeli

    Apr 26, 2021 02:28

    Katika siku za Jumatano na Alkhamisi wiki iliyopita, kulijiri matukio mawili ya kiusalama katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimpeachikwa jina bandia la Israel. Matukio hayo yaliweka wazi udhaifu mkubwa wa kiusalama, kijeshi, na kijasusi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel.

  • Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Apr 24, 2021 13:06

    Kitengo cha pamoja cha makundi ya muqawama ya Palestina kimetangaza kuwa, Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu; na uamuzi wa mwisho kuhusu matukufu mawili hayo utaamuliwa na muqawama.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Apr 01, 2021 06:35

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani si ile ya miaka iliyopita na kwa sasa imo katika awamu ya kwanza ya kusambaratika, na kwamba Israel, sawa kabisa na bwana wake, inaelekea kusambaratika na kutoweka.

  • Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Feb 27, 2021 12:03

    Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.

  • Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka

    Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka

    Feb 25, 2021 07:37

    Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa, kwa kudumisha Waislamu umoja na mshikamano, mapamban ya kuuikomboa Baytul- Muqaddas yatapa ushindi.

  • "Shahidi Qassem Suleimani aliugeuza muqawama kuwa harakati ya ulimwengu mzima"

    Feb 04, 2021 04:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, shahidi kamanda Qassem Suleimani aliugeuza muqawama kuwa harakati ya ulimwengu mzima.

  • Nukta nne muhimu katika hotuba ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa hauli ya Qassim Suleimani

    Nukta nne muhimu katika hotuba ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa hauli ya Qassim Suleimani

    Jan 05, 2021 11:47

    Hotuba ya Samahat Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu wauawe shahidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashd Al-Shaabi ilikuwa na nukta kadhaa muhimu na zenye mazingatio makubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS