-
Ulazima wa kuachiliwa maelfu ya mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala wa Kizayuni
Apr 20, 2020 03:24Makao makuu ya kudumu ya Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu , Bunge la Iran, imetoa taarifa kwa mnasaba wa 'Siku ya Mateka Wapalestina', na kusisitiza ulazima wa kuachiliwa bila masharti mateka 5000 wa Palestina wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Bunge la Jordan: Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel waachiliwe huru
Apr 12, 2020 07:47Bunge la Jordan limetoa wito wa kuachiliwa huru mateka wote wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya kutisha ya utawala haramu wa Israel.
-
Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti
Apr 09, 2020 03:51Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel
Apr 06, 2020 22:20Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetahadharisha kuhusu hatari kubwa inayotishia uhai wa wafungwa karibu elfu tano wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Israel kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Tunisia yasema iko tayari kuisaidia Palestina kukabiliana na Corona
Mar 28, 2020 07:17Serikali ya Tunisia imetangaza uungaji mkono wake kwa raia wa Palestina katika kukabiliana na virusi vya Corona.
-
Harakati za mapambano Palestina zapongeza hatua ya Ansarullah huko Yemen
Mar 27, 2020 20:35Makundi na harakati za mapambano ya ukombozi huko Palestina zimepongeza sana pendekezo lililotolewa na harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah kuhusu suala la kubadilishana mateka wa Saudi Arabia na Wapalestina wanaoshikiliwa nchini Saudia.
-
Harakati za Palestina na Russia wakubaliana kukabiliana na "Muamala wa Karne"
Mar 18, 2020 02:54Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimekubaliana na Russia juu ya jinsi ya kukabiliana na mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili eti ya amani Mashariki ya Kati maarufu kwa jina la "Muamala wa Karne".
-
Palestina yamwandikia barua Guterres, yatahadharisha kuhusu ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni
Mar 15, 2020 00:48Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amewatahadharisha maafisa wa umoja huo kuhusu kasi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ardhi ya Palestina na uchochezi unaofanywa na utawala huo dhidi ya raia wa Palestina.
-
Makundi ya ukombozi ya Palestina yajitayarisha kukabiliana na Wazayuni Ukanda wa Gaza
Mar 13, 2020 23:02Kutokana na kuongezeka uwezekano wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia eneo la Ukanda wa Gaza, makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yamejiweka katika hali ya tahadhari kwa ajili ya kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya utawala huo haramu.
-
Marekani yatekeleza njama mpya dhidi ya Wapalestina kwa kubadilisha utambulisho wa wakazi wa Quds
Mar 12, 2020 12:03Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina imesema, hatua ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani ya kubadilisha utambulisho wa Wapalestina wa eneo la Baitul Muqaddas Mashariki ni hujuma ya dhahiri na uchokozi wa wazi dhidi ya utambulisho wa Wapalestina.