Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani

    Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani

    Sep 30, 2019 07:33

    Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza msahama kwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Khalifa Sall ambaye alikuwa anatumikia kifungo cha miaka mitano jela tokea mwaka jana 2018 baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.

  • Kuendelea mazungumzo ya serikali ya Venezuela na wapinzani licha ya vitisho vya Wamagharibi

    Kuendelea mazungumzo ya serikali ya Venezuela na wapinzani licha ya vitisho vya Wamagharibi

    Jul 21, 2019 07:49

    Mashinikizo na vitisho vya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya Venezuela, vimeongezeka huku mazungumzo ya kutafuta njia ya kuiodoa nchi hiyo kwenye mgogoro wa kisiasa yakiwa yanaendelea kati ya serikali na wapinzani.

  • Wapinzani Sudan: Wanajeshi wasipewe kinga ya kushtakiwa

    Wapinzani Sudan: Wanajeshi wasipewe kinga ya kushtakiwa

    Jul 17, 2019 07:32

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan umepinga vikali mpango wa kuwapa wanajeshi wa nchi hiyo kinga mutlaki ya kushtakiwa, ukisisitiza kuwa waliohusika na vitendo vya jinai wanapaswa kubebeshwa dhima.

  • Sisitizo la wapinzani wa Venezuela la kuendelea kushiriki katika mazungumzo na serikali ya Caracas

    Sisitizo la wapinzani wa Venezuela la kuendelea kushiriki katika mazungumzo na serikali ya Caracas

    Jul 17, 2019 02:30

    Baada ya duru tatu za mazungumzo baina ya serikali ya Venezuela na wapinzani yenye lengo la kufikia utatuzi wa pamoja na kuikwamua nchi hiyo katika kinamasi cha mgogoro wa kisiasa, wapinzani wa nchi hiyo wamethibitisha kwamba, wataendelea kushiriki katika mazungumzo na wawakilishi wa serikali huko nchini Barbados katika Bahari ya Caribbean.

  • Rais wa Venezuela asisitiza kuunga mkono mazungumzo na wapinzani

    Rais wa Venezuela asisitiza kuunga mkono mazungumzo na wapinzani

    Jul 06, 2019 08:16

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, serikali yake inaunga mkono na kuheshimu mchakato wa kuendelezwa mazungumzo na wapinzani wake kwa usimamizi wa Norway.

  • Mazungumzo baina ya serikali na wapinzani nchini Venezuela kuanza karibuni hivi

    Mazungumzo baina ya serikali na wapinzani nchini Venezuela kuanza karibuni hivi

    Jul 01, 2019 01:31

    Mazungumzo baina ya wawakilishi wa serikali na wapinzani nchini Venezuela yanatarajiwa kuanza hivi karibuni lengo likiwa ni kufanya juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Wapinzani Sudan kuwateua watu 8 kuongoza Baraza la Mpito

    Wapinzani Sudan kuwateua watu 8 kuongoza Baraza la Mpito

    Jun 11, 2019 08:19

    Makundi ya upinzani yanayoongoza maandamano na uasi wa kiraia nchini Sudan yanapanga kuteua watu wanane katika Baraza la Mpito, huku yakimteua mchumi mashuhuri nchini kuwa kiongozi wa serikali hiyo ya muda.

  • Ukwamishaji mambo wa Juan Guaidó kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Ukwamishaji mambo wa Juan Guaidó kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Jun 09, 2019 12:35

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela na kadhalika kushindwa wapinzani wa nchi hiyo kumng'oa madarakani Rais Nicolás Maduro, kumepelekea Juan Guaidó, kiongozi wa upinzani kukubali pendekezo la upatanishi wa Norway na kuanza mazungumzo ya wawakilishi wa serikali na wapinzani huko mjini Oslo.

  • Viongozi watatu wa upinzani nchini Sudan watiwa mbaroni baada ya kukutana na Abiy Ahmed

    Viongozi watatu wa upinzani nchini Sudan watiwa mbaroni baada ya kukutana na Abiy Ahmed

    Jun 09, 2019 03:31

    Jeshi la Sudan limewatia mbaroni viongozi watatu wa upinzani muda mfupi baada ya viongozi hao kukutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed.

  • Wapinzani nchini Sudan wapinga mpango wa jeshi wa kukabidhi madaraka

    Wapinzani nchini Sudan wapinga mpango wa jeshi wa kukabidhi madaraka

    Jun 04, 2019 13:30

    Wapinzani nchini Sudan wametangaza kuwa wanapinga mpango wa kukabidhi madaraka uliotangazwa na Baraza la Mpito la Kijeshi lililotwaa madaraka ya nchi baada ya kujiri maandamano yaliyompindua rais Omar al Bashir wa nchi hiyo mwezi Aprili mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS