-
Zanganeh: Juhudi za kusitisha ustawi wa sekta ya mafuta ya Iran zimefeli
Oct 20, 2019 08:10Waziri wa Mafuta wa Iran amesema kuwa ustawi wa sekta ya mafuta ya Iran si tu kuwa haujasitishwa bali kusainiwa makubaliano na kutekelezwa miradii mingi katika sekta ya mafuta na gesi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kumeongezeka.
-
SAUTI, Serikali ya Zanzibar: Wafanyabiashara wasipandishe bei ya vyakula mwezi Ramadhani kwani hakuna uhaba wa chakula
May 07, 2019 14:12Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka wafanyabiashara kutopandisha bei za bidhaa muhimu katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.
-
Iran: Ndoto ya Marekani ya kuzuia uuzwaji mafuta ya nchi hii, haina tafsiri
Sep 24, 2018 10:49Waziri wa Mafuta wa Iran sambamba na kubainisha kwamba mbali na Korea Kusini, hakuna nchi iliyocha kununua mafuta ya nchi hii na kusisitiza kuwa, ndoto ya Marekani ya kusimamisha kabisa uuzaji nje mafuta ya Iran haitathibiti.
-
SAUTI, Hali ya taharuki yatanda Zanzibar kufuatia ongezeko la vitendo vya kupotea viongozi wa Kiislamu
Feb 13, 2018 04:11Taharuki imetanda visiwani Zanzibar baada ya kukithiri matukio ya kutoweka katika mazingira ya kutatanisha, wanaharakati wa taasisi za Kiislamu katika visiwa hivyo vya Unguja na Pemba.