-
Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Sebastien Lecornu ajiuzulu
Oct 06, 2025 11:32Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekubali kujiuzulu Waziri Mkuu aliyemteua hivi karibuni baada ya kukosolewa kuhusu safu ya baraza lake la mawaziri.
-
Sarkozy ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa uhalifu
Sep 26, 2025 02:29Mahakama ya Paris jana Alhamisi ilimhukumu rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy kifungo cha miaka mitano jela baada ya kumpata na hatia ya njama ya uhalifu katika kesi aliyotuhumiwa kwamba kiongozi zamani wa Libya mwendazake Muammar Gaddafi alisaidia kufadhili kampeni za Sarkozy katika uchaguzi wa rais mwaka 2007.
-
Polisi yawatia mbaroni watu 295 huku vuguvugu la 'Zuia kila kitu' likiitikisa Ufaransa
Sep 11, 2025 07:19Waandamanaji nchini Ufaransa jana Jumatano walifunga barabara, kuwasha moto na kukabiliana na polisi katika siku ya kwanza ya vuguvugu la harakati ya nchi nzima ya 'Zuia Kila Kitu'.
-
Mediapart: 2024 Israel iliweka 'rekodi ya mwaka' ya ununuzi wa silaha kutoka Ufaransa
Sep 06, 2025 06:18Uuzaji wa silaha wa Ufaransa kwa utawala wa kizayuni wa Israel katika mwaka uliopita wa 2024 ulifikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka minane iliyopita sambamba na kuwepo ongezeko kubwa la mauzo ya silaha za Ufaransa duniani kote. Hayo ni kwa mujibu wa gazeti la ripoti za uchunguzi nchini humo la Mediapart.
-
Ulaghai wa watawala wa Magharibi; Gaddafi alivyodanganywa na Sarkozy
Sep 05, 2025 02:18Moja ya kesi mashuhuri za ulaghai wa watawala wa nchi za Magharibi ni udanganyifu uliofanywa na Nicolas Sarkozy, rais wa zamani wa Ufaransa dhidi ya Muammar Gaddafi, dikteta wa zamani wa Libya.
-
Tunisia yaijia juu polisi ya Ufaransa kwa kuua raia wake Marseille
Sep 04, 2025 07:36Tunisia imewasilisha malalamiko rasmi kwa Ufaransa, ikilaani mauaji ya raia wa nchi hiyo ya Kiarabu yaliyofanywa na polisi wa Ufaransa katika mji wa kusini wa Marseille.
-
Ufaransa yaharakisha kurejesha turathi za kale za nchi za Kiafrika bila ya kuidhinishwa na Bunge
Aug 06, 2025 03:55Serikali ya Ufaransa inafanya jitihada za kuharakisha kurejesha turathi za kale za nchi za Kiafrika katika nchi ilizozikoloni.
-
Ulaya kuitambua rasmi Palestina ni hatua iliyochukuliwa kwa kuchelewa au ni ubadilishaji wa mkakati tu?
Aug 01, 2025 02:45Siku chache baada ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kutangaza kuwa atalitambua rasmi taifa la Palestina katika Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, serikali ya Uingereza nayo pia imesisitiza kuwa hivi karibuni itaitambua nchi ya Palestina.
-
Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia
Jul 27, 2025 09:56Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.
-
Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?
Jul 20, 2025 11:51Ufaransa imehitimisha muda wa zaidi ya miaka sitini ya uwepo wake wa kudumu wa kijeshi nchini Senegal kwa kukabidhi kambi ya kijeshi ya Geille iliyoko mjini Dakar kwa jeshi la nchi hiyo.