Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Apr 01, 2025 02:40

    Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.

  • Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone

    Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone

    Mar 19, 2025 04:14

    Niger imejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Kimataifa ya nchi zinazozungumza Kifaransa (OIF) au Francophone sambamba na juhudi zinazoendelea kufanywa na taifa hilo la Afrika Magharibi za kuvunja uhusiano na kujitenga na mkoloni wake wa zamani, Ufaransa.

  • Waziri wa Fedha wa Ufaransa: Kuna udharura wa kujibu 'Vita vya kijinga' vya Trump

    Waziri wa Fedha wa Ufaransa: Kuna udharura wa kujibu 'Vita vya kijinga' vya Trump

    Mar 15, 2025 02:24

    Waziri wa Fedha wa Ufaransa amevitaja vitisho vya Rais wa Marekani, Donald Trump vya kutoza ushuru wa asilimia 200 kwa uagizaji wa bidhaa za Umoja wa Ulaya kuwa ni vya "kijinga".

  • Le Pen: Vita vya maneno katika Ikulu ya White House kofi la uso kwa Ulaya

    Le Pen: Vita vya maneno katika Ikulu ya White House kofi la uso kwa Ulaya

    Mar 02, 2025 06:37

    Marine Le Pen, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia wa Ufaransa, ameutaja mkutano wa hivi karibuni kati ya viongozi wa Ukraine na Marekani kuwa ni ishara ya utegemezi wa nchi za Ulaya kwa Marekani.

  • Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo

    Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo

    Feb 08, 2025 02:58

    Serikali ya Ivory Coast imeainisha tarehe ya kuondoka wanajeshi 'vamizi' wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Wanajeshi wa Ufaransa kuondoka pia Senegal

    Wanajeshi wa Ufaransa kuondoka pia Senegal

    Jan 19, 2025 05:46

    Serikali ya Ufaransa inapanga kufunga kambi yake ya kijeshi nchini Senegal baada ya kuwaondoa wanajeshi wake kutoka Senegal.

  • Ufaransa yamuonya Trump kuhusu eneo la Greenland la Denmark

    Ufaransa yamuonya Trump kuhusu eneo la Greenland la Denmark

    Jan 09, 2025 03:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noel Barrot, jana Jumatano alimtahaharisha Donald Trump kuhusu hatua yake ya kutishia "mipaka huru" ya Umoja wa Ulaya baada ya rais huyo mteule wa Marekani kukataa kutupilia mbali hatua za kijeshi za kutaka kuidhibiti Greenland, eneo linalojitawala la mwanachama wa Umoja wa Ulaya, Denmark.

  • Chad yakosoa ubabe na ukoloni wa Ufaransa

    Chad yakosoa ubabe na ukoloni wa Ufaransa

    Jan 08, 2025 15:37

    Kufuatia kauli za Rais wa Ufaransa kwamba nchi za Afrika zimesahau kuishukuru Paris kwa kushiriki katika kile anachosema ni 'mapambano dhidi ya ugaidi' katika eneo la Sahel, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad amekosoa maneno hayo na kuyalaani.

  • Chad na Senegal zakerwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa dhidi ya viongozi wa Afrika

    Chad na Senegal zakerwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa dhidi ya viongozi wa Afrika

    Jan 07, 2025 12:18

    Chad imeelezwa kukerwa na kauli iliyotolewa na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron dhidi ya viongozi wa Afrika.

  • Mwaka mpya waanza na maafa Ufaransa, magari 1000 yamechomwa moto mkesha wa mwaka mpya

    Mwaka mpya waanza na maafa Ufaransa, magari 1000 yamechomwa moto mkesha wa mwaka mpya

    Jan 03, 2025 03:45

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa ametangaza kuwa magari elfu moja yalichomwa moto wakati wa ghasia na machafuko ya sherehe za kukaribisha mwaka mpya nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS