-
A/Kusini yavamia kituo cha wakimbizi cha Marekani, yakamata Wakenya saba
Dec 17, 2025 23:18Kituo kimoja nchini Afrika Kusini kinachoshughulikia maombi ya visa za Marekani kimevamiwa na maafisa wa uhamiaji wa Afrika Kusini na kuwatia mbaroni raia saba wa Kenya waliokuwa wanafanya kazi nchini humo kinyume cha sheria.
-
Je, mashinikizo ya Marekani yameufanya mchakato wa uteuzi wa Waziri Mkuu nchini Iraq kuwa tata zaidi?
Dec 17, 2025 23:10Gazeti la Al-Akhbar limeandika katika ripoti yake kwamba, kuongezeka kwa mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Baghdad kumeufanya mchakato wa kuunda serikali mpya ya Iraq kuwa tata zaidi.
-
Walimu 20 ni miongoni mwa watu 30 waliofariki baada ya boti kuzama DR Congo
Dec 17, 2025 09:19Takribani watu 30, wengi wao wakiwa walimu, wamefariki huku kadhaa wakiripotiwa kupotea baada ya boti kuzama katika mto ulioko jimbo la Kwilu, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Raia 104 wameuawa katika mashambulizi ya droni Kordofan Sudan
Dec 17, 2025 09:13Kwa uchache raia 104 wameuawa katika mashambulizi ya droni, ndege zisizo na rubani katika eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Desemba 4 mwaka huu. Hayo yametangazwa na Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk na kuelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka vita na mapigano kati ya makundi ya RSF na SAF huko Sudan.
-
Mke wa rais wa Guinea Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za kutakatisha pesa
Dec 17, 2025 03:08Mamlaka za nchini Ureno zimemtia nguvuni na kumfungulia mashtaka mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha. Hayo yameelezwa na polisi ya nchi hyo.
-
Takriban raia 2,000 waukimbia mji wa Heglig, Sudan baada ya kudhibitiwa na kikosi cha RSF
Dec 16, 2025 23:19Duru za habari ndani ya Sudan jana ziliarifu kuwa takriban raia 2,000 wameyaacha makazi yao katika mji wa Heglig wa magharibi mwa Sudan huko Kordofan Magharibi baada ya safari ngumu ya siku tisa ya kuhama makazi yao kufuatia kutekwa mji huo nawanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
-
Tanzania yaendelea kuwa chaguo la watalii wa kimataifa
Dec 16, 2025 23:19Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko la watalii kutoka mataifa mbalimbali ya Ulaya, yakiwemo Ufaransa, wanaovutiwa na uzuri wa kipekee wa asili na mandhari tofauti zinazopatikana katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi, upinzani walalamika
Dec 16, 2025 23:18Bunge la Zambia limepasisha kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani unadai vitamsaidia Rais Hakainde Hichilema katika uchaguzi wa mwaka ujao.
-
Je, mabadiliko ya mkakati wa ECOWAS yatarejesha utulivu Afrika Magharibi?
Dec 16, 2025 23:01Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) waliokutano huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wamelaani wimbi la mapinduzi ya kijeshi katika eneo hilo na kukubaliana kuunda kikosi cha pamoja cha kuchukua hatua za mapema za kukomesha mapinduzi na ukosefu wa usalama.
-
Mtazamo wa Tunisia na Afrika: Palestina ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki wa kimataifa
Dec 16, 2025 08:42Tunisia imeitangaza kadhia ya Palestina kuwa ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki duniani.