-
M23 yatangaza kujiondoa katika eneo la Uvira kama hatua ya kujenga uaminifu
Dec 16, 2025 08:14Kundi la waasi la Harakati ya Machi 23 (M23) lilitangaza jana Jumatatu kwamba limeamua lenyewe tu kuondoa vikosi vyake katika mji wa Uvira wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambao lilidai kuwa liliuteka wiki iliyopita na kusema kwamba, hatua hiyo imechukuliwa ili kujenga imani na kutia nguvu mchakato wa amani kati yao na serikali ya Kinshasa.
-
M23 yaendelea kuwashikilia mamia ya askari wa Burundi
Dec 16, 2025 00:36Kundi la waasi wa M23 linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda limewakamata mamia ya wanajeshi wa Burundi wakati wa mashambulizi yake ya hivi punde mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, afisa wa kundi hilo amesema, huku mapigano yakiendelea mashariki mwa DRC.
-
Mvua kubwa na mafuriko yaua watu 37 katika mji wa Safi, Morocco
Dec 15, 2025 23:22Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco leo JUmatatu imetangaza kuwa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya takriban watu 37 katika mji wa pwani wa Safi nchini humo.
-
ECOWAS yapinga mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau
Dec 15, 2025 23:21Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga mpango wa mpito uliotangazwa na watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau, badala yake wametaka kurejea haraka kwa utaratibu wa kikatiba. na kuonya kuhusu vikwazo vinavyolengwa dhidi ya wale wanaozuia mchakato huo.
-
Wahajiri wa Kiafrika waaga dunia kwa baridi mpaka wa Morocco, Algeria
Dec 15, 2025 07:31Wahamiaji tisa wa Kiafrika wamepoteza maisha kutokana na baridi kali karibu na mpaka wa Morocco na Algeria.
-
Zaidi ya watu 500,000 wamekimbia makazi yao katika wiki 2 za mapigano DRC
Dec 15, 2025 03:25Zaidi ya watu 500,000, wakiwemo zaidi ya watoto 100,000, wamekimbia makazi yao tangu Desemba 1 kutokana na mapigano makali katika mkoa wa Kivu Kusini wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hayo yalitangazwa jana Jumapili na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF).
-
Maandamano ya fujo yanaendelea nchini Tunisia
Dec 15, 2025 03:23Mamia ya watu nchini Tunisia wameendelea kufanya maandamano yaliyoitishwa na vyama vya upinzani na mashirika ya kisheria. Maandamano hayo yanaendelea kwa wiki ya nne mfululizo kwenye mitaa ya mji mkuu Tunis.
-
Umoja wa Mataifa: Tanzania ni rejea ya amani Afrika na duniani kote
Dec 14, 2025 23:17Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Tanzania imekuwa ni rejea muhimu ya amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na duniani kote.
-
Iran: Mvutano Yemen unanufaisha mkakati wa Israel wa kuvuruga Asia Magharibi
Dec 14, 2025 06:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa tahadhari kali kuhusu mvutano unaoendelea nchini Yemen, ikisema hali hiyo inaunufaisha tu utawala wa Israel na mkakati wake wa kuzigawa nchi za Asia Magharibi au Mashariki ya Kati.
-
Machafuko ya baada ya uchaguzi Cameroon: Waandamanaji wafungwa jela, wengine waachiwa huru
Dec 14, 2025 06:14Mgogoro wa kisiasa unaendelea kuikumba Cameroon wiki chache tu baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufanya uchaguzi wa rais.