-
IRGC ya Iran yaapa kutoa jibu madhubuti kwa uchokozi wowote wa Marekani na Israel
Aug 07, 2025 01:02Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kwamba liko tayari kikamilifu kutoa jibu la nguvu kwa vitisho vyovyote vinavyotolewa na wapinzani, na kusisitiza dhamira yake ya kulinda mamlaka na usalama wa Iran.
-
Iran yamnyonga jasusi mwingine wa shirika la Mossad
Aug 07, 2025 01:01Iran jana Jumatano ilimnyonga mtu aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya Israel na kutoa taarifa kuhusu mwanasayansi wa nyuklia aliyeuawa katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, mwezi Juni mwaka huu.
-
Pezeshkian: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuzuia kuendelea jinai Gaza kupitia diplomasia amilifu
Aug 06, 2025 09:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza haja ya kufanyika juhudi za pamoja za nchi za Kiislamu ili kukomesha maafa ya binadamu huko Gaza.
-
Iran yamnyonga gaidi wa kitakfiri wa Daesh aliyepatikana na hatia
Aug 06, 2025 09:03Mamlaka za Mahakama nchini Iran zimemnyonga mwanachama wa kundi la kigaidi na Kitakfiri la Daesh aliyepatikana na hatia ya kufanya mashambulizi ya kigaidi hapa nchini.
-
Ali Larijani ateuliwa Mkuu Mpya wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran
Aug 06, 2025 04:30Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemteua mwanasiasa mkongwe Ali Larijani kuwa Mkuu Mpya wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC).
-
Iran yasambaza vifurushi vya chakula na maji kwa wakaazi wa Gaza
Aug 06, 2025 00:26Shirika la Hilali Nyekundu la Iran limesambaza vifurushi vya chakula na maji katika Ukanda wa Gaza ili kusaidia mahitaji ya dharura ya wakaazi wa Ukanda huo ambao wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa mahitaji ya dharura kama chakula na maji.
-
Balozi wa Iran nchini Denmark: Ulimwengu wa Kiislamu una wajibu maalumu wa kukomesha mauaji ya kimbari huko Gaza
Aug 06, 2025 00:26Katika barua aliyowaandikia mabalozi wa nchi za Kiislamu wanaoishi Denmark, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo ametahadharisha kuhusu athari mbaya za jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na kusisitiza kuwa, Ulimwengu wa Kiislamu unabeba dhima maalumu katika kusimamisha mauaji ya kimbari na kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Baqaei: Iran haiwezi kuiamini Marekani baada ya kushambulia vituo vyake vya nyuklia
Aug 05, 2025 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa nchi hii haiiamini Marekani khasa baada ya mashambulizi yake yasiyo na msingi katika vituo vya nyuklia vya Iran vinavyoendesha shughuli zake kwa malengo ya amani.
-
Iran: Nchi jirani zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa kizayuni wa Israel
Aug 04, 2025 23:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini aliyonayo ya kukamilika mkataba wa amani kati ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia lakini amezitaka pia nchi majirani wa Iran zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini safari ya Rais Pezeshkian nchini Pakistan ni mabadiliko katika diplomasia ya kikanda?
Aug 04, 2025 09:50Sambamba na matukio ya kijiopolitiki ya kikanda, ziara ya Rais Masoud Pezeshkian wa Iran nchini Pakistan si tu ya kidiplomasia, bali pia ni hatua ya kimkakati ya kufafanua upya nafasi ya Iran katika milingano na mahesabu ya kieneo.