-
Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House
Jul 13, 2026 11:20Kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya Marekani katika maji na maeneo ya kusini mwa Iran, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetoa taarifa kikitangaza kujibu vikali vitendo vya uchokozi vya jeshi la Marekani.
-
IRGC yashambulia kambi za kijeshi za Marekani huko Bahrain, Jordan, Kuwait na Oman
Jul 13, 2026 10:13Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limeshambulia na kuharibu kambi na maeneo kadhaa muhimu ya kijeshi ya Marekani katika nchi za Jordan, Bahrain, Kuwait na Oman katika operesheni ya kulipiza kisasi ya awamu tano dhidi ya uchokozi wa Marekani, ikiwa ni pamoja na mashambulizi ya nchi hiyo katika maeneo ya pwani ya Iran.
-
Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani
Jul 13, 2026 10:11Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani
-
Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi
Jul 13, 2026 03:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.
-
Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz
Jul 13, 2026 03:00Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.
-
'Timiza majukumu yako la sivyo utalipa gharama': Spika Qalibaf aionya Marekani
Jul 12, 2026 12:29Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf ameionya Marekani kwamba inalazimika kutimiza majukumu yake la sivyo italazimika kulipa gharama ya kukiuka ahadi na majukumu yake chini ya makubaliano ya kukomesha vita.
-
Mazishi makubwa zaidi ya kukumbukwa katika historia
Jul 12, 2026 10:25Mazishi makubwa na ya kuvutia ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, halikuwa tukio tu la maombolezo; bali lilibadilika haraka na kuwa moja ya matukio muhimu zaidi yaliyozingatiwa na vyombo vya habari na wanasiasa duniani, kieneo na kimataifa.
-
Iran, Oman zakubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa meli, Lango Bahari la Hormuz
Jul 12, 2026 09:36Iran na Oman zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa baharini na mipango ya baadaye ya safari za meli katika Lango-Bahari la Hormuz.
-
Iran yashambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Oman, Qatar na Bahrain, yafunga Lango Bahari la Hormuz
Jul 12, 2026 04:20Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi vimetekeleza operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Qatar, Oman na Bahrain, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi endelevu ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.
-
Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran: Tutawaandama wahalifu wa vita wa Marekani na Israel
Jul 12, 2026 04:18Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Hujjatul Islam Gholam Hossein Mohseni Ejei, amesema kuwa chombo hicho kitaendeleza hatua za kisheria za kufuatilia uhalifu uliofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Iran, akisisitiza kwamba wahusika wa uhalifu wa kivita lazima waadhibiwe na walazimishwe kulipa fidia.