-
Rais Pezeshkian: Tunatazamia uhusiano wa kirafiki na nchi za kanda na ulimwengu
Dec 26, 2024 23:29Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, Iran inatazamia kwa hamu kuwa na uhusiano wa kirafiki na nchi za eneo na dunia na inafanya hima kuhakikisha kunakuweko amani na usalama ndani na nje.
-
Esmaeil Baghaei: Shambulio dhidi ya gari la waandishi wa habari Gaza ni jinai ya kivita
Dec 26, 2024 23:28Esmaeil Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameaani kulengwa kwa makusudi gari la waandishi wa habari karibu na kambi ya wakimbizi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, shambulio ambalo lilisababisha kuuawa waandishi wa habari watano.
-
Kuzaliwa Isa Masih, ukumbusho wa kupigania uadilifu; Ujumbe wa pongezi wa Wairani watumiaji wa mtandao wa X
Dec 26, 2024 06:57Watumiaji Wairani wa mtandao wa kijamii wa X wamekutaja kuzaliwa Nabii Isa Masih (Yesu Kristo), amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, kuwa ni ukumbusho wa maadili ya kiroho ya ubinadamu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuzaliwa Isa Masih
Dec 26, 2024 03:24Ukurasa wa lugha ya Kiingereza wa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, katika mtandao wa kijamii wa X umechapisha ujumbe wake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as).
-
Iran yaitaka Ufaransa kutoa maelezo kuhusu mauaji ya raia 2 wa Iran nchini humo
Dec 26, 2024 03:18Tume ya Haki za Binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mauaji ya raia wawili wa Iran nchini Ufaransa na kuitaka serikali ya nchi hiyo kutoa maelezo kuhusiana na jinai hiyo.
-
Ujumbe wa Rais Pezeshkian wa Iran kwa Papa Francis kwa mnasaba wa Krismasi
Dec 26, 2024 00:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ujumbe wake kwa Papa Francis, amesema: Kusherehekea kuzaliwa kwa Nabii Isa Masih (AS) ni fursa ya kiroho ya kukumbusha Amri za Mwenyezi Mungu na mafundisho ya thamani ya manabii wote kwa ajili ya kutimiza haki, amani, na uhuru.
-
Iran yasema Krismasi ni fursa ya kujikumbusha wito wa Nabii Isa (AS) wa 'haki, amani'
Dec 26, 2024 00:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa salamu za Krismasi na Mwaka Mpya kwa Wakristo kote ulimwenguni, wakiwemo "wananchi wenzetu Wakristo" nchini Iran, ikisisitiza kwamba tukio hilo ni kumbusho la mafundisho ya Nabii Isa au Yesu Kristo (Amani Ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ya haki, amani na upendo.
-
Jeshi la Iran, IRGC kufanya mazoezi ya kijeshi yenye 'nguvu'
Dec 26, 2024 00:41Kamanda wa ngazi ya juu wa Iran ametangaza kwamba vikosi vya jeshi la Iran vitaandaa mazoezi tata ya kijeshi yenye na ambayo yatajumuisha Jeshi la Kitaifa (Artesh) na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Araghchi: Syria itashuhudia mabadiko makubwa
Dec 25, 2024 08:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni mapema mno kutabiri mustakabali wa Syria hasa kwa wale wanaodhani kuwa wameshinda.
-
Russia wavutiwa sana na bidhaa za nguo na ngozi za Iran
Dec 25, 2024 08:45Naibu wa Mkuu wa Mkoa wa Tehran katika masuala ya uratibu wa kiuchumi wa ametangaza habari ya kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano kati ya Iran na Russia katika masuala ya nguo na ngozi, baada ya wananchi wa Russia kuvutiwa sana na bidhaa za Iran.