-
Barua ya Iran kwa Baraza la Usalama baada ya Israel kukiri ilihusika na mauaji ya Ismail Haniyeh
Dec 25, 2024 08:37Amir Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa jana Jumanne alimwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisisitiza kwamba, Israel imebeba dhima ya kuhusika na mauaji ya Shahidi Ismail Haniyeh, mkuu zamani wa Idara ya Siasa ya harakati ya Hamas.
-
Iran yalaani vikali "kukiri bila ya aibu" Israel kuwa ndiyo iliyomuua kigaidi Ismail Haniya mjini Tehran
Dec 25, 2024 03:30Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kauli ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya "kukiri bila ya aibu" kuwa ndio uliomuua kigaidi Kiongozi wa Hamas Ismail Haniya mjini Tehran mapema mwaka huu, na kuyataja mauaji hayo kuwa ni "jinai ya kuchukiza mno".
-
Mshauri wa Kiongozi Mkuu: Iran imelisafisha hatua kwa hatua eneo na uwepo wa doa chafu la magaidi
Dec 25, 2024 03:26Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelisafisha hatua kwa hatua eneo na uwepo wa doa chafu la magaidi.
-
Araqchi: Makombora ya Yemen yamevuruga mahesabu ya Marekani na Israel
Dec 25, 2024 00:18Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa usahihi wa makombora ya Yemen umevuruga kwa kiasi kikubwa mahesabu ya kimkakati ya muungano wa Israel na Marekani.
-
Iran: Tuko tayari kufungua tena ubalozi Syria, tunafanya mazungumzo na serikali ya Damascus
Dec 24, 2024 09:22Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza utayarifu wa Tehran kufungua tena ubalozi wake mjini Damascus, huku kukiwa na changamoto zinazoikabili Syria wiki mbili baada ya wanamgambo wa Hayat Tahrir al-Sham (HTS) kushika hatamu za nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Makamu wa Rais wa Iran ahimiza kustawishwa uhusiano na Russia
Dec 24, 2024 03:23Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Iran amesema kuwa, viongozi wa ngazi za juu wa Iran wana nia ya kweli ya kustawisha uhusiano na Russia katika viwango vya juu.
-
Wanawake wa Iran wang'ara katika sekta ya sayansi na teknolojia
Dec 24, 2024 00:00Wanawake wa Iran wameng'ara katika sekta ya sayansi na teklojia na kuliletea taifa mafanikio makubwa katika uga huu.
-
Iran: Hatuna mawasiliano ya moja kwa moja na mrengo tawala wa sasa huko Syria
Dec 23, 2024 23:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa tulikuwa na mawasiliano na mrengo wa upinzani wa Syria tangu kitambo nyuma na tulisema kwamba Iran iliingia Syria kwa ajili ya kupambana na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) na kuzuia kuenea ugaidi katika nchi za eneo hili, lakini hatuna mawasiliano ya wa moja kwa moja na mrengo uliotwaa madarakan nchini Syria hivi sasa.
-
Iran na Russia zahimiza kuimarishwa uhusiano wa pande mbili
Dec 23, 2024 22:59Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa, serikali yake imedhamiria kikwelikweli kuimarisha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia na kukamilishwa haraka njia ya Ukanda wa Kimataifa wa Usafiri wa Kaskazini-Kusini (INSTC).
-
Kamanda Salami: Hakuna nguvu juu ya ardhi, bahari au angani inayoweza kuishinda IRGC
Dec 23, 2024 10:48Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesisitiza kuwa hakuna nguvu yoyote duniani inayoweza kushinda nguvu za jeshi la IRGC kwa upande wa ardhi, baharini na angani na kwamba uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umevuka mipaka.