-
Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Feb 19, 2026 08:43Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo na kujadili uhusiano wa pande mbili na mchakato wa mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
-
Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda
Feb 19, 2026 04:16Balozi wa Russia mjini Tehran amezikosoa vikali Marekani na Israel kwa kufuata “sera za uharibifu,” akionya kuwa uchokozi wowote dhidi ya Iran unaweza kusababisha “athari zisizotabirika na zenye maangamizi makubwa” katika eneo la Asia Magharibi na kwingineko duniani.
-
Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia
Feb 19, 2026 04:11Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa njama na vitendo vya uharibifu vilivyotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya mpango wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu viliilazimisha Iran kuelekea kujitegemea kikamilifu katika sekta ya nyuklia. Alieleza kuwa mchakato huo ulikuwa ni jibu la moja kwa moja kwa shinikizo la muda mrefu na juhudi za makusudi za kuvuruga maendeleo ya nchi.
-
Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman
Feb 18, 2026 23:13Msemaji wa maneva ya kijeshi ya Iran na Russia, Admirali Hassan Maghsoudlou, amesema kuwa vikosi vya majini vya Iran na Russia leo Alkhamisi vitafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
-
Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana
Feb 18, 2026 07:36Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kwamba, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja inayofanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yako chini uangalizi kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na ametupilia mbali dhana ya kushiriki Iran katika "mazungumzo kwa ajili ya kuzungumza tu."
-
Iran yamuita balozi wa Ujerumani kulalamikia 'uadui' wa Berlin
Feb 18, 2026 02:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Ujerumani hapa mjini Tehran kulalamikia misimamo na hatua za hivi karibuni za uadui zilizochukuliwa na mamlaka za Ujerumani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran
Feb 17, 2026 23:51Awamu ya kwanza ya mazoezi ya Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imefanyika katika visiwa vya Iran kwenye maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Rais Pezeshkian: Iran haitaki silaha za nyuklia
Feb 17, 2026 23:35Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza tena kuwa nchi hii haitaki kumiliki silaha za nyuklia kwa aina yoyote ile.
-
Katika hotuba ya kuaga, Yunus asema kupinduliwa Hasina ulikuwa ukombozi kwa Bangladesh
Feb 17, 2026 23:34Kiongozi wa mpito wa Bangladesh Muhammad Yunus, ametangaza kujiuzulu katika hotuba ya kuaga kwa taifa aliyotoa kabla ya kukabidhi mamlaka kwa serikali iliyochaguliwa.
-
Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva
Feb 17, 2026 10:09Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imemalizika mjini Geneva, Uswisi.