-
Iran: Madai ya kumiliki visiwa vya Ghuba ya Uajemi ni dhidi ya mamlaka ya kujitawala na ujirani mwema
Dec 16, 2025 03:28Iran imesema kuwa madai yoyote ya kumiliki visiwa vitatu vya Ghuba ya Uajemi yaani Tomb Kubwa, TombNdogo na Bu Musa ni ukiukaji wa kanuni za ujirani mwema na kutoheshimu mamla ya kujitawala ya nchi nyingine.
-
Mkutano wa Tehran; Ubunifu wa Iran kwa ajili ya mwafaka wa kikanda na uthabiti wa Afghanistan
Dec 15, 2025 14:59Mkutano wa wawakilishi maalum wa nchi jirani za Afghanistan pamoja na Russia umefanyika katika wizara ya mambo ya nje ya Iran, mjini Tehran.
-
Iran: IAEA haina haki ya kutaka kukagua vituo vilivyoshambuliwa
Dec 15, 2025 11:35Mkuu wa shirika la nyuklia la Iran amekosoa wito wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA wa kufanya ukaguzi mpya kwenye maeneo ya nyuklia yaliyoshambuliwa, akisisitiza kwamba taasisi hiyo ya UN haina itifaki zilizo wazi za kukagua maeneo ambayo yalishambuliwa na utawala wa Israel na Marekani.
-
IRGC: Maadui watakabiliwa na mwelekeo mpya wa uwezo wa Iran iwapo wataanzisha vita
Dec 15, 2025 11:00Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC Ali-Mohammad Naeini amesema kwamba ikiwa vita vitazuka, adui atakabiliwa na viwango vipya na vya hali ya juu vya nguvu ya kijeshi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Velayati: Iran inaiunga mkono Hizbullah ya Lebanon kwa dhati
Dec 15, 2025 06:56Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa, Hizbullah ni moja ya nguzo muhimu zaidi za kambi ya Muqawama na ina jukumu la kimsingi katika kukabiliana na Uzayuni. Hivyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, chini ya maagizo ya Kiongozi Muadhamu, itaendelea kuiunga mkono harakati hiyo ambayo iko mstari wa mbele katika Muqawama.
-
Kiwanda kikubwa cha nishati ya jua cha Iran kuzalisha umeme wa nyumba milioni 2.5
Dec 15, 2025 06:50Iran iko mbioni kukamilisha ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nishati ya jua katika mkoa wa Isfahan wa katikati mwa Iran, mradi ambao unaotarajiwa kuzalisha umeme kwa karibu nyumba milioni 2.5 humu nchini.
-
Aragchi: Ushirikishwaji wa Afghanistan ni msingi wa uthabiti wa kudumu
Dec 15, 2025 02:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema uthabiti wa Afghanistan unategemea kuingizwa kwake kikamilifu katika mifumo ya kisiasa na kiuchumi ya kikanda, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa majirani badala ya kutegemea nguvu za nje.
-
Iran yalaani shambulio la “kikatili” dhidi ya hafla ya Kiyahudi nchini Australia
Dec 15, 2025 02:17Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la “kikatili” lililolenga hafla ya Kiyahudi mjini Sydney, Australia, shambulio ambalo limeua watu wasiopungua 12 na kuwajeruhi wengine kadhaa.
-
Ushirikiano kati ya Iran na wanachama wa BRICS: Mkakati wa kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi
Dec 14, 2025 12:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Ethiopia kwamba: BRICS inaweza kuandaa mazingira ya kuwepo ushirikiano wa haki na wenye uwiano katika ngazi ya kimataifa.
-
Spika Qalibaf: Daima tunafuatilia kupanua uhusiano na nchi za Afrika
Dec 14, 2025 07:11Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, daima taifa hili limekuwa likifuatilia kupanua ushirikiano na mataifa ya Kiafrika.