-
Kamanda wa IRGC: Iran mdhamini wa usalama wa Ghuba ya Uajemi
Apr 29, 2024 08:10Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mkakati wa Iran ni kuendeleza amani, usalama na udugu katika Ghuba ya Uajemi na Mlango Bahari wa Hormuz.
-
Raisi: Mkono wa chuma hauwezi kuzima harakati ya wanachuo Magharibi ya kuunga mkono Palestina
Apr 29, 2024 03:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, harakati ya wanafunzi, maprofesa na wasomi wa nchi za Magharibi za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina ni tukio kubwa lenye muelekeo mipana ambalo haliwezi kuzimwa kwa ukandamizaji, vipigo, kamatakamata na vitendo vya utumiaji mabavu.
-
Iran leo inaadhimisha Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi
Apr 29, 2024 03:49Wananchi wa Iran leo wanaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi, ambayo ni nembo ya misimamo isiyoyumba ya kukabiliana na njama za baadhi ya nchi za kikanda za kutaka kubadilisha jina la eneo hilo la kistratijia la maji.
-
Kuongezeka mauzo ya nje ya bidhaa zisizokuwa za mafuta za Iran
Apr 29, 2024 03:13Maonesho ya 6 ya uwezo wa kuuza nje bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalianza Jumamosi hapa mjini Tehran kwa hotuba ya Rais Ebrahim Raisi.
-
Kan'ani: Sauti ya kuvurugika mifupa ya Uzayuni duniani inasikika zaidi hivi sasa
Apr 28, 2024 08:33Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, sauti ya kuvurugika mifupa ya Uzayuni duniani inasikika zaidi sasa hivi kuliko wakati mwingine wowote.
-
Makamu wa Rais wa Iran asisitiza kuendeleza uhusiano na nchi za Afrika
Apr 28, 2024 03:52Makamu wa kwanza wa rais wa Iran amesema kuwa, kustawisha uhusiano na nchi za Kiafrika imekuwa stratijia ya Iran tangu ulipopatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mwaka 1979.
-
Kan'ani: Iran ni katika washirika muhimu wa amani duniani
Apr 28, 2024 03:50Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamuu ya Iran amesema, Iran imegeuza vikwazo kuwa fursa ya kuimarisha na kuendeleza uwezo wake wa kiulinzi na kijeshi, na ni miongoni mwa washirika muhimu wa jami ya kimataifa katika kuhakikisha amani na usalama wa kieneo na kimataifa na kupambana na ugaidi wa kimataifa.
-
Ukandamizaji hautawanyamazisha waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina nchini Marekani
Apr 28, 2024 01:01Uwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva umelaani vikali ukandamizaji unaoendelea dhidi ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani, na kusisitiza kwamba ghasia dhidi ya waandamanaji wa amani hazitawanyamazisha.
-
Raisi: Iran ina ubunifu katika nyanja mbalimbali kwa ajili ya dunia
Apr 27, 2024 09:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika sherehe za ufunguzi wa maonyesho ya sita ya uwezo wa mauzo ya nje ya bidhaa za Iran (Iran Expo 2024) kwamba maonesho haya yanaonyesha kuwa Iran haiwezi kuwekewa vikwazo na ina uwezo wa kufanya uvumbuzi katika nyanja mbalimbali.
-
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Tehran waandamana kuunga mkono maandamano ya wenzao wa Marekani
Apr 27, 2024 09:48Wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Tehran wamefanya maandamano leo Jumamosi kuunga mkono maandamano yanayoongezeka kwenye kampasi za Marekani ambapo wanafunzi wamepiga kambi wakitaka kukomeshwa vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza huko Palestina.