-
Dunia yaendelea kulaani miripuko ya kigaidi ya Kerman, Iran, iliyoua watu 95
Jan 03, 2024 23:40Shambulio la kigaidi la lililoua makumi ya watu katika mji wa Kerman wa kusini mashariki mwa Iran linaendelea kulaaniwa katika kona mbalimbali za dunia. Watu 95 wamethibirishwa kuuawa shahidi na 284 wengine wamejeruhiwa.
-
Watu 103 wauawa katika shambulio la kigaidi la Kerman Iran
Jan 03, 2024 09:45Kwa akali watu 103 wameuawa shahidi na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko kadhaa iliyotokea katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa Iran.
-
Kuongezeka uwepo wa wanamaji wa Iran katika Bahari Nyekundu
Jan 03, 2024 08:31Meli ya kivita ya Alborz imerudi tena katika Bahari Nyekundu ikiwa ni katika Meli za Kikosi cha 94 cha Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia Lango-Bahari la Bab al-Mandab. Manowari hiyo ya Alborz ilijiunga na Meli za Kusini za Jeshi la Wanamaji Desemba 2019 baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa na kuwekwa humo mifumo mipya ya kiteknolojia.
-
Kiongozi Muadhamu: Mkakati mkuu wa Iran ni kutegemea nguvu laini
Jan 03, 2024 08:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mkakati mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi hiki cha miaka 45 iliyopita ni kutegemea nguvu laini na nguvu hizo zinapaswa zifanywe kubwa zaidi.
-
Amir-Abdollahian: Jinai za utawala wa Kizayuni zimepiga kengele ya hatari katika ukanda huu mzima
Jan 03, 2024 07:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jinai na mauaji ya kigaidi yanayofanywa na utawala wa Kizayuni nje ya mipaka ya Palestina ni tishio kwa usalama na ni kengele ya hatari kwa amani ya ukanda huu mzima.
-
Iran yalaani vikali mauaji ya kigaidi ya Saleh Al Arouri yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni
Jan 03, 2024 00:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Nasser Kanaani amelaani vikali hatua ya kutapatapa ya utawala wa kigaidi wa Kizayuni wa Israel ya kumuua shahidi Sheikh Saleh al-Arouri, Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ambaye pia ni kamanda mwanajihadi wa Muqawama pamoja na makamanda wawili wa Brigedi za Al-Qassam.
-
Wairani 23,000 wasio na hatia wameuawa shahidi kwa vitendo vya kigaidi
Jan 02, 2024 11:20Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekumbusha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa mhanga mkubwa zaidi wa vitendo vya magaidi na kubainisha kwamba: hadi sasa watu elfu 23 wasio na hatia wameuawa shahidi kutokana na vitendo vya kigaidi.
-
Kujiunga rasmi Iran na kundi na BRICS
Jan 02, 2024 04:36Mwakilishi wa Afrika Kusini katika Kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani (BRICS) ameeleza kuwa Iran, Saudi Arabia, Imarati, Misri na Ethiopia zimejiunga rasmi na kundi hilo kuanzia Januari Mosi mwaka huu wa 2024.
-
Iran yaipongeza Ansarullah ya Yemen kwa kuiunga mkono Palestina
Jan 02, 2024 03:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameisifu na kuipongeza Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwa kuwa na msimamo madhubuti katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.
-
Meli ya kivita ya Alborz ya Iran yaingia Bahari Nyekundu, mvutano unaendelea katika eneo hilo
Jan 01, 2024 23:20Meli ya kivita ya Alborz ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka Lango-Bahari wa Bab al-Mandeb huko Yemen na kuingia Bahari Nyekundu huku wasiwasi na mvutano ukiongezeka katika eneo hilo.