-
Kiongozi Muadhamu amuenzi shahidi Fakhrizadeh kwa kipawa chake kikubwa cha elimu na ikhlasi ya kupigiwa mfano
Jan 25, 2021 23:36Familia ya mwanasayansi bingwa na mwenye kipawa cha juu katika masuala ya nyuklia na ulinzi wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh jana ilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Zarif: Safari yangu ya Azerbaijan ni mwanzo wa safari ya kieneo katika Ukanda wa Caucasia
Jan 25, 2021 20:10Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza mwishoni mwa safari yake mjini Baku Azerbaijan kwamba, katika safari yake ya Russia, Armenia, Georgia na Uturuki atafanya mazungumzo na viongozi wa nchi hizo kuhusiana na ushirikiano wa pande sita na ushirikiano mwingine wa kieneo.
-
Dozi zaidi ya milioni 16 za chanjo ya corona kuingizwa nchini Iran hivi karibuni
Jan 25, 2021 09:16Mkuu wa kamati ya afya na tiba ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, taratibu zinakamilishwa kwa ajili ya kuingiza nchini dozi 16,800,000 za chanjo ya corona kutoka nchi zenye kuaminika na zilizokubalika.
-
Kamanda: Iran inafuatilia kwa karibu harakati zote za adui
Jan 25, 2021 04:24Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, majeshi ya Iran yanafuatilia kwa karibu harakati zote za maadui.
-
Iran: Vikwazo vya Marekani katika sekta yetu ya mafuta na gesi vimefeli vibaya
Jan 24, 2021 23:01Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani katika sekta yetu ya mafuta na gesi vimeshindwa na kufeli vibaya.
-
Waziri wa Afya wa Iran: Utoaji chanjo ya corona nchini utaanza hivi karibuni
Jan 24, 2021 10:31Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, utoaji chanjo ya corona hapa nchini utaanza hivi karibuni.
-
Twitter ya Zarif kwa Biden; chaguo la msingi la imma kuendeleza siasa zilizofeli au kurejea katika njia ya amani na utulivu
Jan 23, 2021 23:01Makosa makubwa zaidi katika mahesabu ya sera za nje za Marekani yamejiri wakati wa utawala wa rais wa zamani wa nchi hiyo Donad Trump.
-
Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo
Jan 23, 2021 08:42Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.
-
Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele
Jan 23, 2021 08:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."
-
Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu lalaani mashambulio ya kigaidi ya Baghdad
Jan 23, 2021 04:25Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu limetoa taarifa na kulaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea juzi Alkhamisi katikati ya Baghdad, mji mkuu wa Iraq.