-
Barabara Ndefu Zaidi ya Chini ya Bahari Duniani Kuunganisha Iran na Qatar
Feb 25, 2025 22:48Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, aliyekuwa ziarani mjini Tehran wiki iliyopita, alisisitiza mpango wa pamoja kati ya nchi yake na Iran wa kuchimba njia ya chini ya Bahari katika Ghuba ya Uajemi, ambayo itaunganisha Iran na Qatar.
-
Watoto wachanga watano wafariki Ghaza kutokana na mgando wa baridi kali
Feb 25, 2025 07:29Watoto wachanga watano wamefariki dunia katika Ukanda wa Ghaza kutokana na mgando wa baridi kali katika eneo hilo lililowekewa mzingiro na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzuiwa kuingizwa misaada ya kibinadamu ikiwemo ya vifaa vya huduma za tiba.
-
HAMAS: Kuwa na silaha ni haki ya kisheria ya Muqawama na kuachana nazo ni jambo lisilowezekana
Feb 25, 2025 06:16Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameashiria matamshi yaliyonasibishwa na kiongozi mwandamizi wa harakati hiyo Musa Abu Marzouk na kusisitiza kwamba: "Hamas inaendelea kutumia silaha za Muqawama kama haki halali na ya kisheria na haitalegeza msimamo juu ya suala hilo".
-
Sayyid Hassan Nasrullah alivunja kiburi cha jeshi la Israel linalodai halishindwi
Feb 25, 2025 02:32Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa: Sayyid Hassan Nasrullah amepata mafanikio makubwa na kuvunja kiburi na majigambo ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ambalo linadai eti halishindiki.
-
Vipigo vya Hizbullah vimeitia Israel hasara ya shekeli bilioni 9
Feb 25, 2025 02:30Afisa mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa, hasara iliyopatikana vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vya kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kutokana na vipigo vya Hizbullah wakati wa vita vya hivi karibuni inakadiriwa kuwa ni karibu shekeli bilioni 9 sawa na dola 2,515,582,638.
-
Kuendelea mashambulizi na jinai za Wazayuni kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi
Feb 24, 2025 22:58wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni "kitendo cha ugaidi"
Feb 24, 2025 09:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel kuruka juu ya uwanja wa michezo nchini Lebanon, ambako shughuli za mazishi ya viongozi wa Hizbullah waliouawa shahdii zilikuwa zinafanyika, akitaja tukio hilo kama "kitendo cha ugaidi" kilicholenga kuwatisha waombolezaji.
-
Hamas yalaani mashambulizi huku Israel ikishambulia Ukingo wa Magharibi
Feb 24, 2025 09:03Harakati ya muqawama ya Hamas imelaani uamuzi wa Israel wa kupanua mashambulizi yake ya kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa kaskazini, ikisema kuwa uchokozi huu unaonesha nia hatari ya utawala wa kikoloni wa Israel kuendelea na vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.
-
Jenerali wa Iran: Mazishi ya viongozi wa Muqawama ni hamasa ya kudumu Asia Magharibi na Lebanon
Feb 24, 2025 08:56Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Mohammad Baqeri, amesema kuwa mazishi na shughuli za kuaga mashujaa wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon yamekuwa tukio la hamasa ya kihistoria lisilosahaulika katika historia ya eneo la Asia Magharibi na Lebanon.
-
Mafanikio ya kimkakati uliyopata Muqawama wa Lebanon chini ya uongozi wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah
Feb 24, 2025 07:51Jana Jumapili Februari 23 yalifanyika mjini Beirut, Lebanon mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah aliyeuawa shahi, kwa kuhuhudhuriwa na zaidi ya watu milioni moja. Suali muhimu linaloulizwa na wengi ni: Kuna mafanikio gani ya kimkakati ambayo Muqawama wa Lebanon umepata katika kipindi cha miaka 33 ya uongozi wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah?