-
Wapalestina wengine 19 wauawa shahidi
Jan 13, 2025 23:40Wapalestina wengine 19 wameuawa shahidi katika muendelezo wa jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanajeshi 3 wa Israel waangamizwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza
Jan 13, 2025 07:41Wanajeshi 3 wa Kizayuni wameangamizwa katika shambulizi la kuvizia la wanamuqawama dhidi ya Wazayuni kaskazini mwa Gaza.
-
UNICEF: Zaidi ya watoto milioni moja wa Gaza wanasumbuliwa na tatizo la afya ya akili
Jan 13, 2025 07:26Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umeonya kuwa karibu watoto wote milioni 1.1 katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na mgogoro wa afya ya akili na wanahitaji msaada wa kisaikolojia, huku utawala wa Israel ukiendeleza vita vya kikatili dhidi ya wakazi wa eneo hilo linalozingirwa.
-
Namna vipimo vya undumilakuwili vya Magharibi vinavyochangia kuendelea jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ghaza
Jan 13, 2025 03:58Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema, Israel inavitumia vipimo vya undumilakuwili vya nchi za Magharibi kuendeleza jinai na uhalifu wake katika Ukanda wa Ghaza.
-
Makamanda wengi wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa Ghaza
Jan 13, 2025 00:00Brigedia Jenerali mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa asilimia 80 ya makamanda wa Brigedi ya Givati wameuawa au kujeruhiwa katika vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
UN: Taswira za viwiliwili, hali ya njaa na uharibifu inayoonekana Ghaza ni ya "kutisha"
Jan 12, 2025 23:57Mkuu wa mawasiliano ya dharura wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP ameitaja hali ya mauaji, njaa na uharibifu unaosababishwa na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza kuwa ni ya "kutisha".
-
Gazeti la Kiebrania la Haaretz: Israel imeidhinisha mpango wa kuondoa askari wake Ukanda wa Ghaza
Jan 12, 2025 23:56Gazeti la Kiebrania la Haaretz limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha mipango ya kuwaondoa wanajeshi katika Ukanda wa Ghaza, baada ya hatua zilizopigwa katika mazungumzo ya kubadilishana mateka na harakati ya Hamas.
-
Nini madhumuni ya kuzidisha mashambulizi dhidi ya Yemen?
Jan 12, 2025 09:09Marekani, Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine tena zimeanzisha mashambulizi ya pamoja na makali dhidi ya Yemen.
-
Zaidi ya Wapalestina 4,000 wamekuwa vilema katika mashambulizi ya Israel Gaza
Jan 12, 2025 08:33Hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza yamesababisha zaidi ya Wapalestina 4,000 kuwa vilema.
-
Wanamichezo 708 wameuawa shahidi tangu kuanza vita vya Gaza
Jan 12, 2025 08:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Vyombo vya Habari vya Michezo vya Palestina ametangaza kuwa, wanamichezo 708 wa Kipalestina wameuawa shahidi katika vita vya Gaza.