-
HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel
Apr 14, 2024 07:41Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio lililofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu la kimaumbile na linalostahiki.
-
Tangu Oktoba 7, jeshi la Israel limefanya mauaji 16 ya halaiki kila siku katika Ukanda wa Ghaza
Apr 14, 2024 07:41Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya kwa wastani, mauaji 16 ya halaiki kila siku katika Ukanda wa Ghaza tangu Oktoba 7, 2023 ambako limekuwa likiendesha vita vya kinyama vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo kwa mwezi wa sita sasa.
-
Utawala wa Kizayuni unaficha kikamilifu hasara za mashambulio ya makombora ya Iran
Apr 14, 2024 07:41Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vinazikanusha picha na mikanda ya video inayosambazwa na vyombo kadhaa vya habari, ikionyesha maeneo tofauti ndani ya utawala huo yaliyolengwa na makombora ya Iran ikiwa ni kufuata na kutekeleza sera ya habari ya baraza la mawaziri la vita la utawala huo haramu.
-
Biden amwambia Netanyahu kwamba Marekani haitashiriki katika vita vya Israel dhidi ya Iran
Apr 14, 2024 04:20Rais Joe Biden wa Marekani amemwambia Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kwamba Marekani haitashiriki katika mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran.
-
Khalid Mash'al: Karibuni hivi, vita vya miezi sita vitamvunja adui Mzayuni
Apr 13, 2024 23:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Khaled Mash'al, amepongeza istiqama ya kishujaa ya Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa vita vya miezi sita wanavyopigana Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel "karibuni hivi vitamvunja adui Mzayuni".
-
Watu wenye silaha waua abiria 11 kusini magharibi mwa Pakistan
Apr 13, 2024 23:00Watu wenye silaha wameua abiria wasiopungua 11 katika matukio mawili tofauti yaliyojiri kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Kukiri Wazayuni kuhusu uwezo mkubwa wa kistratijia wa Iran
Apr 13, 2024 22:59Viongozi wa utawala wa Kizayuni wamekiri kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na nguvu na uwezo mkubwa wa kistratijia wa Iran.
-
UN yatahadharisha kuhusu ongezeko la magonjwa ya kuambukiza katika Ukanda wa Gaza
Apr 13, 2024 08:21Mratibu wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema: magonjwa ya kuambukiza yanaenea katika Ukanda wa Gaza kutokana na ukosefu wa maji salama na kuongezeka kwa joto.
-
Hizbullah yashambulia maeneo ya jeshi la Israel kwa makumi ya maroketi
Apr 13, 2024 06:43Harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah imetekeleza operesheni kadhaa dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Israel na kuonyesha uungaji mkono wake usioyumba kwa Wapalestina wakati wa vita vya mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Gaza.
-
Vyombo vya habari vya adui: Tishio la kisasi la Iran limeilemaza "Israel" kwa hofu kubwa
Apr 12, 2024 23:15Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa, tishio la Iran kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya ubalozi wake mdogo nchini Syria limeipoozesha na kuilemaza Israel kutokana na hofu kubwa.