-
UNICEF: Watoto wa Ghaza wako taabani kwa kula nyasi
Apr 12, 2024 22:45Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF amesema, ameshuhudia kwa macho yake mtoto aliye taabani baada ya kula nyasi kutokana na njaa inayokabili mamia ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mauaji ya makamanda wa Muqawama na familia zao; ujumbe na matokeo yake
Apr 12, 2024 09:15Utawala wa kizayuni wa Israel umefanya jinai nyingine na kuwauwa shahidi watoto na wajukuu wa Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
HAMAS: Kusitishwa vita kikamilifu ndio msingi wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni
Apr 12, 2024 07:47Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, usitishaji vita wa kudumu ndio msingi mkuu wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya kuwarejesha makwao bila ya masharti yoyote Wapalestina waliolazimika kuyahama makazi yao na kuondoka kikamilifu vikosi vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kuongezeka kimataifa uungaji mkono kwa kampeni ya kususia bidhaa za Israeli
Apr 11, 2024 23:59Huku mauaji ya kimbari yakiwa yanaendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza, nchi nyingi duniani zinaendelea kujiunga na kampeni ya kususia bidhaa za Israel na vilevile za makampuni mengi ya Kimarekani yanayouunga mkono utawala huo wa kibaguzi.
-
Haniyeh: Hamas haitalegeza kamba baada ya mauaji ya Israel dhidi ya wanangu
Apr 11, 2024 23:58Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mauaji yalitofanywa na Israel dhidi ya watoto wake hayataifanya harakati hiyo na ukombozi wa Palestina kulegeza kamba katika malengo na matakwa yake katika mazungumzo yenye lengo la kufikia mwafaka kuhusu vita vya Gaza.
-
Haaretz: Serikali ya Netanyahu imeshindwa vibaya kwenye vita vya Ghaza
Apr 11, 2024 06:24Chombo kimoja cha habari cha utawala wa Kizayuni kimekiri kwamba Wazayuni wote wanakiri kuwa serikali ya Benjamin Netanyahu imeshindwa vibaya kwenye vita vya Ghaza.
-
UN: Israel inaichezea tu misamiati kama "ngao ya binadamu" na "maeneo yenye usalama"
Apr 11, 2024 04:25Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesisitiza kuwa, viongozi wa utawala wa Kizayuni na askari wa utawala huo wanapotosha na wanaichezea misingi ya sheria za kimataifa ili kuhalalisha ukatili na uchokozi wao.
-
Ismail Haniya: Ninamshukuru Allah kwa heshima hii aliyotupa ya kufa shahidi wanangu watatu na wajukuu zangu
Apr 11, 2024 00:09Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".
-
Waislamu wa Ghaza wasali Sala ya Idi juu ya vifusi, maelfu wasali Idi katika Msikiti wa al Aqsa
Apr 10, 2024 22:57Waislamu wa Ukanda wa Ghaza jana Jumatano walitekeleza ibada ya Sala ya Idul Fitr juu ya vifusivya Misikiti na shule zilizobomolewa kikatili na utawala wa Kizayuni huku maelfu ya Waislamu wa Palestina wakitekeleza ibada hiyo kwenye Msikiti wa al Aqsa katika mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas.
-
Umoja katika medani ya Muqawama ni jinamizi jipya kwa utawala wa Israel
Apr 10, 2024 08:48Sambamba na kuendelea mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza na kukataa kukubali usitishaji vita, vikosi vya muqawama (mapambano ya Kiislamu) ndani na nje ya Palestina pia vimeongeza nguvu na wigo wa mashambulizi ya kujihami dhidi ya utawala huo katili.