-
Guterres: 'Nimevunjika moyo' Waislamu huko Gaza hawawezi kusherehekea Idil Fitr
Apr 10, 2024 08:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema moyo wake "umevunjika" kuona Waislamu katika Ukanda wa Gaza unaokumbwa na vita na kwengineko pengine hawawezi kusherehekea ipasavyo siikukuu ya Idil Fitr, baada ya kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
CNN: Kauli za Netanyahu kuhusu shambulio dhidi ya Rafah ni sauti za debe tupu
Apr 10, 2024 08:24Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza katika ripoti yake kwamba, matamshi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu uhakika wa shambulio dhidi ya mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza ni sautii za debe tupu na za mchezo wa kuigiza.
-
UN yalaani Israel kwa kuwazuia waandishi wa habari kufika Gaza
Apr 09, 2024 23:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameikosoa Israel kwa kuwanyima waandishi wa habari wa kimataifa idhini ya kuingia katika Ukanda wa Gaza unaokumbwa na vita na kusema hatua hiyo inalenga kuficha ukweli.
-
Wanamuqawama wa Iraq washambulia maeneo 5 ya utawala wa Kizayuni
Apr 09, 2024 04:19Ripoti kutoka Iraq zinasema kuwa wapiganaji wa Muqawama wa Kiislamu wa Iraq wameshambulia maeneo matano ya Israel katika kuwaunga mkono raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya kikatili na mauaji ya kimbari ya utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Nasrullah: Jibu la Iran kwa uchokozi wa Israel ni haki yenye uhalali wa kisheria
Apr 08, 2024 23:27Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutoa jibu kwa uchokozi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa kushambulia ubalozi wake mdogo mjini Damascus ni haki yenye uhalali wa kisheria.
-
Watoto ndio wahanga wakuu wa vita vya Gaza
Apr 08, 2024 22:48Katika siku za hivi karibuni vyombo tofauti vya Umoja wa Mataifa vimechapisha ripoti mpya kuhusu kuharibika zaidi hali ya kibinadamu huko Gaza hususan ya watoto, jambo ambalo linaifanya kadhia ya jinai za kivita za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kupata uzito zaidi.
-
WHO: Hali ya hospitali ya al-Shifa katika mji wa Gaza ni ya kutisha
Apr 08, 2024 08:13Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa hali ya hospitali ya al Shifa katika mji wa Gaza ni ya kutisha na mbaya sana.
-
WFP yatahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto Ukanda wa Gaza
Apr 08, 2024 07:52Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) ametahadharisha kuwa watoto katika Ukanda wa Gaza wanapoteza maisha kutokana na njaa.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia meli za Uingereza, Israel, meli za kijeshi za Marekani katika Bahari ya Sham
Apr 08, 2024 02:24Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya wanamaji vya nchi hiyo vimefanya operesheni nyingi dhidi ya meli za kibiashara za Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Apr 08, 2024 01:05Kutokuwa na uwezo jamii ya kimataifa wa kusimamisha mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza kumekosolewa vikali kimataifa.