-
Waziri al Sudani: Wananchi wataendelea kubeba silaha madamu Marekani bado ipo Iraq
Nov 04, 2025 03:28Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed al-Sudani alisema jana Jumatatu kwamba kuondoka kikamilifu Marekani na muungano wake unaodaiwa wa kupambana na Daesh huko Iraq ndiko kutakakopelekea kupokonywa silaha makundi ya kujihami ya wananchi. Kwa mujibu wa makubaliano, Marekani lazima iondoke Iraq mwezi Septemba mwaka ujao wa 2026.
-
UNICEF yaonya kuhusu mzozo wa kibinadamu kwa watoto Gaza licha ya kusitishwa mapigano
Nov 03, 2025 22:56Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ameashiria hali mbaya inayowakabili zaidi ya watoto milioni moja huko Gaza, ambao wanaendelea kuhitaji chakula na maji kwa dharura.
-
Israel yaandaa muswada wa 'kifashisti' wa kuruhusu utoaji wa hukumu ya adhabu ya kifo kwa Wapalestina
Nov 03, 2025 22:55Kamati moja ya wabunge wa utawala wa kizayuni wa Israel imeidhinisha muswada wa kuanzisha utoaji wa adhabu ya kifo kwa Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala huo, na kufungua njia ya kusomwa hoja hiyo kwa mara ya kwanza bungeni licha ya kuandamwa na lawama nyingi.
-
Tetemeko la ardhi laikumba Afghanistan, makumi waripotiwa kufariki dunia
Nov 03, 2025 06:36Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.3 kwa vipimo vya richter limeikumba Afghanistan usiku wa kuamkia leo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Umuhimu wa kusimama kidete Muqawama wa Lebanon katika kukabiliana na njama za Marekani na Israel
Nov 03, 2025 06:19Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon Hizbullah Sheikh Naim Qassem, amesisitiza kuwa Hizbullah haitasalimu amri kwa vitisho vya Marekani kwa sababu nchi hiyo si mpatanishi asiyeegemea upande wowote na inaunga mkono utawala wa Kizayuni na uvamizi wa Israel.
-
Israel imeshakanyaga mara 194 makubaliano ya kusitisha vita Ghaza
Nov 03, 2025 03:04Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Ghaza imetangaza kwamba jeshi vamizi la Israel limeshakanyaga mara 194 makubaliano ya kusitisha vita huko Ghaza yaliyofikiwa tarehe 10 Oktoba kwa ajili ya kumaliza mauaji ya kimbari ya miaka miwili yaliyokuwa yanafanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Serikal ya Lebanon hatimaye yachukua hatua za kupambana na Israel
Nov 03, 2025 03:02Baada ya kupita miezi kadhaa ya kutochukua hatua, hatimaye serikali ya Lebanon imeamua kupambana na Israel kwa kupeleka jeshi lake mpakani ili kukabiliana na uchokozi wa mara kwa mara wa utawala wa Kizayuni kwenye mipaka yake ya kusini.
-
Hamas: Tumeshikamana na ahadi za kurejesha miili ya mateka wa Kizayuni
Nov 02, 2025 22:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa na kutangaza kwamba, bado inaheshimu na kushikamana na ahadi zake za kukabidhi kwa Israel miili ya mateka wa Kizayuni waliouliwa na utawala wa Kizayuni wakati wa mashambulizi yake ya miaka miwili kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Israel yaendelea kuwatesa kwa njaa Wapalestina kwa kuruhusu 24% tu ya misaada kuingizwa Ghaza
Nov 02, 2025 03:20Mamlaka za Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimetangaza kuwa utawala wa kizayuni wa Israel umeruhusu kuingizwa katika eneo hilo sehemu ndogo tu ya misaada ya kibinadamu kinyume na ilivyoafikiwa katika makubaliano ya usitishaji mapigano yanayosimamiwa na serikali ya Marekani, ambayo yalianza kutekelezwa mwezi uliopita.
-
Israel yaendelea kukiuka makubaliano na Lebanon, yashambulia na kuua watu 4 na kujeruhi 3
Nov 02, 2025 02:57Shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesababisha vifo vya watu wanne na kuwajeruhi wengine watatu kusini mwa Lebanon ukiwa ni mwendelezo wa mashambulizi ya kigaidi yanayofanywa na Tel Aviv ndani ya ardhi ya nchi hiyo, ambayo yanakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa mwishoni mwa Novemba 2024 kati ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah na utawala huo ghasibu.