-
UN: Gaza ni eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari duniani
Nov 01, 2025 23:45Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameangazia hatari zinazowakumba waandishi wa habari duniani kote, akielekeza macho hasa kwa Ukanda wa Gaza, ambapo ametaja eneo hilo la Palestina lililozingirwa na utawala wa Israel kuwa eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari hivi sasa dunaini.
-
Israel yakiuka usitishaji vita, yaua Wapalestina 10 kila siku
Nov 01, 2025 04:27Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Euro-Mediterania lilitangaza siku ya Ijumaa katika ripoti yake kuwa, utawala wa Kizayuni umekuwa ukiwaua shahidi Wapalestina 10 kila siku tangu kuanza kwa usitishaji vita.
-
Naeem Qassem: Muqawama ni nembo ya nguvu ya Lebanon, unapaswa kulindwa
Nov 01, 2025 03:53Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inadai kwamba inataka kutatua matatizo ya Lebanon lakini nchi hiyo sio mpatanishi mwadilifu asiyependelea upande wowote na ni mshirika katika uhalifu na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Idara ya Habari Palestina: Kuna mabomu 20,000 ambayo hayajalipuka huko Gaza
Nov 01, 2025 03:06Idara ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Palestina imetangaza kwamba mabomu 20,000 ambayo hayajalipuka bado yamebaki katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Erdogan amkosoa vikali Kansela wa Ujerumani: Huoni mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza?
Oct 31, 2025 23:04Rais wa Uturuki amekosoa vikali msimamo wa Ujerumani wa kuuunga mkono utawala wa Israel, akimwambia kansela wa nchi hiyo: "Je, huoni mauaji ya halaiki na njaa ya kutengeneza kwa makusudi inayowakabili watu wa Gaza?"
-
Majibu ya Ansarullah kwa Israel Katz: "Hatutamruhusu mtenda jinai atutishie"
Oct 31, 2025 07:36Mohammad al-Farah, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amejibu matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kwamba utawala huo ghasibu bado haujafikia malengo yake yoyote hadi sasa.
-
Mazungumzo ya Taliban na Pakistan yamalizika Istanbul huku baadhi ya mambo yakisalia bila utatuzi
Oct 31, 2025 07:15Mazungumzo ya siku kadhaa kati ya wajumbe wa Taliban na Pakistan mjini Istanbul yamemalizika kwa upatanishi wa serikali ya Qatar na Uturuki.
-
Hasira za Hamas kwa uongo wa Marekani na Israel kuhusu mauaji ya wanawake na watoto wa Ghaza
Oct 31, 2025 03:21Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, amelalamikia vikali visingizio vya uongo vinavyotumiwa na utawala vamizi wa Kizayuni vya kujaribu kuhalalisha jinai zake dhidi ya raia wa Palestina na kusema kuwa huo ni ushahidi wa ubaguzi wa rangi na chuki za kupindukia walizo nazo Wazayuni dhidi ya wanawake na watoto wa Palestina waliouliwa kikatili na kwa umati na wanajeshi makatili wa Kizayuni.
-
UN: Wasyria 400,000 wamekimbia makazi yao katika muda huu mfupi wa uongozi wa Jolani
Oct 31, 2025 03:20Umoja wa Mataifa umeitangaza kwamba zaidi ya Wasyria 400,000 wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na ukandamizaji wa kidini na ulipizaji kisasi tangu Jolani alipoingia madarakani nchini Syria.
-
Doha: Tupo katika mawasiliano na pande zote mbili ili kudumisha usitishaji vita Gaza
Oct 30, 2025 23:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi yake inawasiliana na pande zote mbili, Palestina na Israel, ili kudumisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.