-
Israel yashambulia kusini mwa Lebanon; raia mmoja auawa
Oct 30, 2025 08:54Wanajeshi wa Israel wamefanya shambulizi la nchi kavu katika mkoa wa kusini mwa Lebanon wa Nabatieh, huo ukiwa ukiukaji mwingine wa makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo yalianza kutekelezwa karibu mwaka mmoja uliopita.
-
Picha ya mwanajeshi wa Israel yafichua jinsi Wapalestina wanavyotumiwa kama ngao ya binadamu vitani
Oct 29, 2025 22:55Picha, inayoripotiwa kuchukuliwa na kuchapishwa na mwanajeshi wa Israel, imesababisha mshtuko mkubwa katika mitandao ya kijamii, ikithibitisha ripoti za jinsi utawala huo vamizi unavyowatumia wazee wa Palestina kama ngao za binadamu katika vita vya muda mrefu vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Israel yafanya mauaji ya kutisha Gaza; Zaidi ya Wapalestina 100, wakiwemo watoto 35, wauawa licha ya makubaliano ya amani
Oct 29, 2025 10:03Mashambulizi yaliyofanywa leo na Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza yameua Wapalestina wasiopungua 100, wakiwemo watoto 35, ukiwa ni ukiukaji wa hivi karibuni wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Hamas na utawala huo ghasibu.
-
Wanajeshi 279 wa Israel wajaribu kujiua katika kipindi cha miezi 18 iliyopita
Oct 29, 2025 05:38Ripoti rasmi inaonyesha kuweko ongezeko la majaribio ya kujitoa mhanga miongoni mwa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.
-
Majibu makali ya mwandishi Msaudia kwa waziri wa Israel: Ngamia wetu wana asili, nyinyi hamnayo
Oct 28, 2025 14:26Mwandishi wa Saudi Arabia na mchambuzi wa masuala ya kisiasa amejibu matamshi ya dharau yaliyotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel Bezalel Smotrich akisema, "Ngamia wetu wana asili, lakini nyingi hamna asili."
-
UNRWA: Msimamo wa Marekani hautatuzuia kufanya kazi yetu huko Gaza
Oct 28, 2025 14:25Adnan Abu Hasna, mshauri wa vyombo vya habari wa Shirika la Misaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA), amesema kwamba taarifa za hivi karibuni za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ambapo alidai shirika hilo la kimataifa halitakuwa na nafasi yoyote katika Ukanda wa Gaza, si jambo jipya na ni katika fremu ya misimamo ya Marekani kuhusu taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.
-
UNICEF: Usitishaji vita Gaza ni fursa muhimu ya kukidhi mahitaji ya watoto
Oct 27, 2025 23:44Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza unaweza kuwa "fursa muhimu" ya kulinda maisha, utu na mahitaji muhimu ya watoto milioni moja wa Kipalestina.
-
Malengo ya mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Lebanon
Oct 27, 2025 22:52Mashambulizi ya jeshi la Israel kwa kushirikiana na Marekani dhidi ya Lebanon yameingia katika awamu mpya.
-
Hamas yasisitiza haki ya Wapalestina ya kuwa na nchi huru; yasema imesitisha mapigano Gaza
Oct 27, 2025 02:58Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza dhamira isiyoyumba ya harakati hiyo ya kutekeleza usitishaji vita huko Gaza na kusema Wapalestina hawataki kitu chochote isipokuwa haki yao inayotambulika kimataifa ya kuwa na nchi huru.
-
UNICEF: Mfumo wa elimu wa Gaza umeporomoka na kizazi kizima kiko karibu kuharibiwa
Oct 27, 2025 02:17Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeonya kwamba uharibifu unaoendelea ambao umeaosababishwa na vita vya Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina, ikiwa ni pamoja na uharibifu wa miundombinu ya elimu, umeweka mustakabali wa mamilioni ya watoto wa Kipalestina hatarini.